Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 Oct 28, 2010 #41 Wow, dogo alikuwa safi sana mjumbani afadhali amepata kitu kizima. Huko kwetu vipi wa kwetu? Au kapitiliza kwenda Moro?
Wow, dogo alikuwa safi sana mjumbani afadhali amepata kitu kizima. Huko kwetu vipi wa kwetu? Au kapitiliza kwenda Moro?
Sokomoko JF-Expert Member Mar 29, 2008 1,915 127 Oct 28, 2010 #43 Nampenda sana Robert Mugabe ni mwafrika wa ukweli.....
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,282 105,482 Oct 28, 2010 #44 Matumizi mabaya ya fedha za watu masikini.