Mugabe Agomea Mazungumzo Ya Kuachia Madaraka

Mugabe Agomea Mazungumzo Ya Kuachia Madaraka

Ajuza anagomaje labda kutembea lakn nako atabebwa tu.
 
Amekubali kuachia madaraka ila kuna mgogoro wa kikatiba maana anatakiwa amwachie madaraka makamu wa rais, 1. makam wa kwanza mke wake Grace ametoroka na Emmerson alishamfukuza ,hivyo hakuna makamu wa rais wa kupokea madaraka!
anacheza politic huyo risasi ya kichwa ndio jawabu.
Fala sana haoni hata aibu kutaja malaya kwenye mambo ya kitaifa.
 
Zimbabwe angetokea shujaa mmoja ampige pyuu pyuu Mugabe, Mnangagwa na Chiwenga Mkuu wa majeshi, maana hawa wote akili zinafanana.
 
Jongwe ndio mwisho hana nguvu tena akiendelea kugoma atapigwa risasi maana hakuna option nyingine
 
Jongwe ndio mwisho hana nguvu tena akiendelea kugoma atapigwa risasi maana hakuna option nyingine
All options are on the table for them to choose!

Kanuni za AU na Commonwealth zinapinga mapinduzi ya kijeshi.
 
Back
Top Bottom