bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
Nilipoangalia taarifa ya habari jana, Mufti alikuwa akiweka jiwe la msingi katika kituo cha elimu Kondoa, nilisikitika kuona mufti Sheikh Simba, akisisitiza elimu kwa Waislam kwa dharau.
Sijui ni kejeli, mzaha au kutojua anachokiongea, anasema "Muislam anayetaka dunia asome, (nini?) anayetaka ahela asome (nini?)" ama hakika Mufti simba ameshindwa kuwekeza na kuendeleza idara ya elimu kwa waislamu watz kupitia BAKWATA anayoiongoza badala yake amejikita kuitolea matamko CCM, ama hakika hili nalo ni gamba linatakiwa kuvuliwa.
Sijui ni kejeli, mzaha au kutojua anachokiongea, anasema "Muislam anayetaka dunia asome, (nini?) anayetaka ahela asome (nini?)" ama hakika Mufti simba ameshindwa kuwekeza na kuendeleza idara ya elimu kwa waislamu watz kupitia BAKWATA anayoiongoza badala yake amejikita kuitolea matamko CCM, ama hakika hili nalo ni gamba linatakiwa kuvuliwa.