Mufti,sheikh simba naye ni gamba kwa bakwata?

bushman

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,411
743
Nilipoangalia taarifa ya habari jana, Mufti alikuwa akiweka jiwe la msingi katika kituo cha elimu Kondoa, nilisikitika kuona mufti Sheikh Simba, akisisitiza elimu kwa Waislam kwa dharau.

Sijui ni kejeli, mzaha au kutojua anachokiongea, anasema "Muislam anayetaka dunia asome, (nini?) anayetaka ahela asome (nini?)" ama hakika Mufti simba ameshindwa kuwekeza na kuendeleza idara ya elimu kwa waislamu watz kupitia BAKWATA anayoiongoza badala yake amejikita kuitolea matamko CCM, ama hakika hili nalo ni gamba linatakiwa kuvuliwa.
 
Nilipoangalia taarifa ya habari jana,mufti alikuwa akiweka jiwe la msingi katika kituo cha elimu kondoa,nilisikitika kuona mufti sheikh simba,akisisitiza elimu kwa waislam kwa dharau sijui ni kejeli,mzaha au kutojua anachokiongea,anasema "muislam anayetaka dunia asome,(nini?) anayetaka ahela asome (nini?)" ama hakika mufti simba ameshindwa kuwekeza na kuendeleza idara ya elimu kwa waislamu watz kupitia bakwata anayoiongoza badala yake amejikita kuitolea matamko ccm,ama hakika hili nalo ni gamba linatakiwa kuvuliwa.

jana wenzake walikuwa na semina elekezi dom ilitakiwa na yeye awepo mana ashakuwa mwana siasa na si kiongozi wa dini tena....
 
Nilipoangalia taarifa ya habari jana,mufti alikuwa akiweka jiwe la msingi katika kituo cha elimu kondoa,nilisikitika kuona mufti sheikh simba,akisisitiza elimu kwa waislam kwa dharau sijui ni kejeli,mzaha au kutojua anachokiongea,anasema "muislam anayetaka dunia asome,(nini?) anayetaka ahela asome (nini?)" ama hakika mufti simba ameshindwa kuwekeza na kuendeleza idara ya elimu kwa waislamu watz kupitia bakwata anayoiongoza badala yake amejikita kuitolea matamko ccm,ama hakika hili nalo ni gamba linatakiwa kuvuliwa.

Habari yako imekaa kimajungu na kinafiki, haieleweki. Wewe unaonekana umekurupuka, na kama siasa zimekushinda achana na habari za kujadili dini hapa. Inawezekana nyie ni wale mliosema fulani ni chaguo la Mungu lkn alipowatosa mkaanza kutuhubiria mabaya yake. Kweli Mungu kajikosoa kwa chaguo lake.
 
Hakuna suala la udini achana na kauli za wanasiasa na polojo zao za udini hapa mbona unaonyesha udhaifu mkubwa,wewe jibu kwa hoja,na uliza tena mufti simba naye ni gamba?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom