Kwa mahujaji ni kesho Jumanne.... Ila kwa Bakwata ni j5Waislam na wajuvi naomba ufafanuzi sikukuu hii ya kuchinja ( kutoa sadaka ya damu) mwaka huu itakuwa lini ?
USSR
Wengine tulishaaga ha kuna kazi daahJumatano
Alaa kumbe kesho kuna Eid ya dunia na ya bakwata Tanzania ni j'tanoJumanne ndo Eid Dunia nzima
Jumatano ni Eid ya Tanzania ikisimamiwa na bakwata
Ketho kuthwaWaislam na wajuvi naomba ufafanuzi sikukuu hii ya kuchinja ( kutoa sadaka ya damu) mwaka huu itakuwa lini ?
USSR
Kesho mkuu Juma4 kwa mujibi wa Imani yanguWaislam na wajuvi naomba ufafanuzi sikukuu hii ya kuchinja ( kutoa sadaka ya damu) mwaka huu itakuwa lini ?
USSR
Sasa Kama Waislamu wa Tanzania wenyewe wameshindwa kuelewana na kusheherekea siku yao pamoja, Serekali itawasaidiaje hapo!?Kwa nini serikali isitambue na wale answar sunna maana wao wanaamini sikukuu ni kesho, ila wanalazimika kwenda kazini kwa sababu serikali inafuata sikukuu iliyotangazwa na bakwata....ni bora wangefikiria kuweka siku mbili ili kuweza kuwa accommodate wote..
Hana calendarMufti wetu bhwana
Afande Sele bado mzima?Mufti na Sheikh mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally Mbwana anapenda kuchukua Fursa hii kuutangazia Umma kuwa Sikukuu ya Eid El-adh'haa itakuwa tarehe 21 /07/2021 siku ya Jumatano ambayo ndiyo itakuwa siku ya mapumziko kitaifa.
View attachment 1850864