Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,316
Mkuu ulitaka lipae?Gari kama hili inakuwaje linaruhusiwa kutembea barabarani?
Ulitaka litembee mtoni?Gari kama hili inakuwaje linaruhusiwa kutembea barabarani?
Ug wako smart sana. Hawawezi kufanya huu mchezoMmh!!!sio D.R.C au Ug,huko ndiko nilikutana na mapigo
hayo.
Pijo 504Hiyo ni DRC tena wana keep right, naona hiyo gari ni "Pijo" 505
Mkuu haya ni maisha ya kwa kudra za Mwenyezi Mungu.Uko hakuna bump nini..!? Maana uyo maza aliekalia ndoo apo nyuma ngoma ikiingia kwa bump anaeza kurushwa na kutoshkilia ilo bomba vizuri mziki wake unakua pale mlango unaporudi.. woouuuuwi
Mkuu niliyakuta hayo mapigo side ya Gulu vijijini miaka ya 2005.Ug wako smart sana. Hawawezi kufanya huu mchezo
Acha Maligo