Mufindi chukueni hiyo

Mufindi chukueni hiyo

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
3,023
Reaction score
1,316
559e9485afba58e3918e4d7bce86b558.jpg
 
Mtwango, kibao, nyanguguru, kwamkonge, sawala, mtili panda juu twende, aisee lakini mbona mufindi maeneo mengi hayana lami zaidi ya mafinga mjini
 
Uko hakuna bump nini..!? Maana uyo maza aliekalia ndoo apo nyuma ngoma ikiingia kwa bump anaeza kurushwa na kutoshkilia ilo bomba vizuri mziki wake unakua pale mlango unaporudi.. woouuuuwi
Mkuu haya ni maisha ya kwa kudra za Mwenyezi Mungu.
 
Hapo lazima ni Kenya, maana wale manyangau chapaa mbele tu
 
Back
Top Bottom