Muenzi mke wako

Ni kweli Kabisa nimeona hili
Yaani haijalishi kitu kina ukubwa au udogo kiasi gani kama unaona kimekufaa unakichukua na kama hakifai unakiacha.. Na wema hauozi hata iwe ni punje ya mchanga
 
Sahihi Kabisa
Watu wamesahau kuenziana kwenye mahusiano... Na ndio siri wazee enzi na enzi wamefanikiwa.. Leo vijana tunatafutiana sababu tu ilimradi kutiana hila!
 
Watu wamesahau kuenziana kwenye mahusiano... Na ndio siri wazee enzi na enzi wamefanikiwa.. Leo vijana tunatafutiana sababu tu ilimradi kutiana hila!
Mungu atusaidie kwa kweli maana mahusiano ni changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…