Elections 2010 Muelekeo wa leo wa Blog katika uchaguzi 2010

Dingswayo

JF-Expert Member
May 26, 2009
4,019
2,923
Nimepitia blogs za Michuzi, Njengwa na Global Publishers kufuatilia habari mbalimbali, hasa zile za uchaguzi. Ni Global Publishers tu ndio walioweka picha ya Dr. Slaa Mwanza. Hili limenishangaza kwa vile Dr. Slaa kuuteka Mwanza jinsi ile ni kitu cha kuwa katika habari, hasa katika globu za jamii. Nilishangaa vilevile kuona kuwa Global Publishers ndio waliobandika picha hiyo, ukizingatia kuwa mwenye Global Publisher alikuwa mgombea ubunge CCM!
 
Mkuu usishangea hao uliowataja inawezekana ni kama bendera kufuata upepo wapo wapo.Lakini upeo wao unatia shaka, mdogo na tamaa mbele,sio kwamba wanampenda JK ni mamluki, lakini ni wanafiki,ni hatari kuliko malaria.
 
Nimepitia blogs za Michuzi, Njengwa na Global Publishers kufuatilia habari mbalimbali, hasa zile za uchaguzi. Ni Global Publishers tu ndio walioweka picha ya Dr. Slaa Mwanza. Hili limenishangaza kwa vile Dr. Slaa kuuteka Mwanza jinsi ile ni kitu cha kuwa katika habari, hasa katika globu za jamii. Nilishangaa vilevile kuona kuwa Global Publishers ndio waliobandika picha hiyo, ukizingatia kuwa mwenye Global Publisher alikuwa mgombea ubunge CCM!

Maggid bado kuona ile muti moja murefu ilivyogeuka musitu jana ndani ya mwanza.
Usishangae mkuu, hilo ni jambo la kawaida sana kwa hao waosha vinywa, kwani hata TBC1 nao jana waliamua kutusikilizisha sauti ya jaffary haniu, na picha wakaionyesha leo asubuhi wakijua fika watu wengi bado wamelala au waliowahi kuamka wanajiandaa kuelekea makazini.
 
mAGGID NI MTU ASIYEIHESHIMU SIASA, NI mtu dhalili anaenunulika, mtu mwenye tabia za popo, hajulikani yuko upande upi.
 
Nimepitia blogs za Michuzi, Njengwa na Global Publishers kufuatilia habari mbalimbali, hasa zile za uchaguzi. Ni Global Publishers tu ndio walioweka picha ya Dr. Slaa Mwanza. Hili limenishangaza kwa vile Dr. Slaa kuuteka Mwanza jinsi ile ni kitu cha kuwa katika habari, hasa katika globu za jamii. Nilishangaa vilevile kuona kuwa Global Publishers ndio waliobandika picha hiyo, ukizingatia kuwa mwenye Global Publisher alikuwa mgombea ubunge CCM!

Usiache blog nyingine pia iko ya Kisima cha Fikra
 
Nimepitia blogs za Michuzi, Njengwa na Global Publishers kufuatilia habari mbalimbali, hasa zile za uchaguzi. Ni Global Publishers tu ndio walioweka picha ya Dr. Slaa Mwanza. Hili limenishangaza kwa vile Dr. Slaa kuuteka Mwanza jinsi ile ni kitu cha kuwa katika habari, hasa katika globu za jamii. Nilishangaa vilevile kuona kuwa Global Publishers ndio waliobandika picha hiyo, ukizingatia kuwa mwenye Global Publisher alikuwa mgombea ubunge CCM!

Nilidhani tatmini ninaifanya peke yangu kumbe na nyie mmegundu eeh! Kwa taarifa Michuzi anazunguka na Kikwete Tanzania nzima so yupo busy na kuweka picha za kikwete tu thats why unakuta kila baada ya masaa kadhaa kuna picha mpya juu ya wagombea wa CCM na akijisikia baada ya siku kadhaa ndiyo anaweka picha za Dr. Slaa au Zitto tena akijitahidi sana 2. Huyo magid ndiyo du! Michuzi Jr anajitahidi sana. Lakini waache Hizo bog nyingine ziandike habari ca CHi CHI EM huenda wameahidiwa ukuu wa wilaya, Mikoa, Ubalozi na nyingine kibao
 
Back
Top Bottom