princeamos
Member
- Feb 24, 2012
- 52
- 1
Habazi za kuaminika nilizo zipata nikwamba Musalia mudavad amekula mahela mengi ili awachanganye wakenya huyo jamaa anatumia na KIBAKI,UHURU,RUTO,lengo haswa nikuhakikisha kwamba Raila haingii ikulu.
Habazi za kuaminika nilizo zipata nikwamba Musalia mudavad amekula mahela mengi ili awachanganye wakenya huyo jamaa anatumia na KIBAKI,UHURU,RUTO,lengo haswa nikuhakikisha kwamba Raila haingii ikulu.
Huyu miguna kama waswahili wanasema, mgalla muue lakini haki mpe. Bado miguna analilia marupurupu yake kutoka kwa pm. Ndio kusema hata akaingia uongozini, watu watalazimishwa kulala njaa.
Hivi Raila tangu awe PM kuna lipi la maana alilofanya anaweza kulisema hili nimefanya mimi na chama changu?
Ndio hata najiulia mimi ikizingatiwi ni serikali ya mseto na mamlaka yake PM inavyoidhinisha katiba mpya ni kubwa. Kwa sasa niseme sioni lolote amefanya isipokuwa kulilia haki za binadamu.
Kiranga,Hivi Raila tangu awe PM kuna lipi la maana alilofanya anaweza kulisema hili nimefanya mimi na chama changu?
Kulilia haki za binadamu hata mie Kiranga nisiye nyota wala unyoya serikalini naweza.
Nilivyomsoma uhasidi wake na uafriti lukuki naona na yeye muuza maneno tu.