kwa wale ambao wanahitaji kufanya maombi ya vyuo kwa level ya degree na walichelewa kufanya hivyo sasa mtafanya kuanzia tarehe 29 july hadi 9 august 2013.
Chuo lazima iwe january coz walienda wa sita watamaliza wa 9 mwishoni au wa 10 mwanzoni.halafu wa awamu ya tatu watamaliza wa 12 mwishoni.labda awamu ya 3 waitoe den watafanya mabadiliko ya intake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.