kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,355
- 790
Niko na mchepuko na rafiki zake wa wili yan wako kama komba wanagida mvinyo kama wametukania leo.Mpaka saa hizi saa23:00 pm. Wameshatafuna laki unusu yani 150,000/
Na bado wanaonesha wako hai na mimi nimebakiwa na 8300/ sa sijui nile kudadadeki. Yani 80% ya mshahara ushapotea na leo ndio tarehe 30, ishakula kwangu yani hata pombe haishuki. Alaf unaona kama wamenishtukia kua salio limekata maana wanatumianamessage tu, nawaona.
Na bado wanaonesha wako hai na mimi nimebakiwa na 8300/ sa sijui nile kudadadeki. Yani 80% ya mshahara ushapotea na leo ndio tarehe 30, ishakula kwangu yani hata pombe haishuki. Alaf unaona kama wamenishtukia kua salio limekata maana wanatumianamessage tu, nawaona.