Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,337
Siku moja moja surprise inaruhusiwa hivyo hata kwenye mapenzi wakati mwingine yanatakiwa yafanyike muda wowote na mahala popote hata kama bafuni
Kipindi hiki cha mfungo, mashine yangu ya kunjunjia huwa naiacha nyumbani kuepuka kuongea mambo yatakayosababisha mashine na mitambo yake vichachamae na kutaka kuanza kuzalisha
Hamjambo jamani? Mi ni mgeni humu! hodi hodi kwa swali! hv kati ya alfajili,mchana,jioni na usiku upi ni muda mtamu kwa kupeana raha safi na mpenzi wako bila presha wala distabansi yoyote?
Hamjambo jamani? Mi ni mgeni humu! hodi hodi kwa swali! hv kati ya alfajili,mchana,jioni na usiku upi ni muda mtamu kwa kupeana raha safi na mpenzi wako bila presha wala distabansi yoyote?
Marahabaaa kajukuu kateule.
Hebu nambie we unapenda kulengwa saa ngapi? Manake sredi za siku hizi zanchekeshaga sana. Hivi shule zimefungwa au?
Mchana wa jua kali wakati umeme umekatika,na dawasco wamegoma.
Inakuwaga tamu sana
Marahabaaa kajukuu kateule.
Hebu nambie we unapenda kulengwa saa ngapi? Manake sredi za siku hizi zanchekeshaga sana. Hivi shule zimefungwa au?
Kuanzia asubuhi mpaka jioni, usiku mnapumzika kwa ajili ya kupata nguvu za kuanzia tena kesho yake!!?
Mmmh kwa mambo yahoz !! Sindo maana tukaletewa control operation ya kuMidomo na kutupu !!
Woow
umri wak0 tafadhali?
una miaka mingapi?
je umeshapitia jando/unyago ukafunzwa au elimu mtaani dot.com au elimu ya google?
umeshawahi kufanya mapenzi?
kama jibu ni ndiyo , una miaka mingapi?
umri wak0 tafadhali?
Oh, mie hufunga mwezi mzima non-stop, iLa si cross red lines.! maneno yangu ni "tahadhari tu" kwa usalama wajamii.
mmmh na wewe utakua hujafunga
kwa maneno hayo duuuh!!