CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Acha kisirani, umaskini tulionao umeletwa na JF. hata ufanye kazi vipi, sana sana mzee wa vijisenti na mafisadi wenzake wataiba hizo hela na wabunge kupeana posho kubwa kubwa. Hivyo afadhali kutega, hakuna kufanya kazi katu. kula rushwa kwa kwenda mbeleNimekuwa nikijiuliza hili swali kila siku, Wana JF ambao mmeajiriwa maofisini, hivi huwa mnapata muda kweli wa kufanya kazi za ofisi? Na mada mnazoposti hususan za mahusiano huwa mnazipata wapi? Utafiti nilioufanya kupitia mtandao huu, takriban 500 JF members huwa wako online muda wote wa masaa ya kazi kwenye Jukwaa la mahusiano na Mapenzi. Je ni kweli kuna matatizo ya kimapenzi kiasi hiki hapa TZ?
Leo pekee topic lukuki zimeshapostiwa kabla hata ya lunch time! Ndg zangu, tufanye kazi muda wa kazi, nchi yetu ni maskini, Ebooo!
Wenu,
HP
Lol....Horse banaa hao watu unao hofu performance zao kushuka wala hawana habari na wewe..Mimi nikichapa kazi zikaisha nikawa idle ndiyo naingia JF, ninahofu ya performance za watu kushuka kutoka na kuwa addicted na JF! Kama nilivyosema, siyo mbaya ila tuwe na kiasi :nerd:.
HA! mi sikubali MWONGOZO PLEASE!
Mimi nikichapa kazi zikaisha nikawa idle ndiyo naingia JF, ninahofu ya performance za watu kushuka kutoka na kuwa addicted na JF! Kama nilivyosema, siyo mbaya ila tuwe na kiasi :nerd:.
Hahahahaha...Sasa sisi ambao kazi yetu ni kuingia hapa ndio tulipwe mshahara unatushauri vipi?
Mkuu wewe ni multi-tasking kweli au longo longo? Isije ikawa unatumia 70% ya muda wako jukwaani na 30% kwenye kazi inayokuweka mjini, be warned!
Mi nimeingia online kuwakumbusha watu wachape kazi japo kidogo!
Samahani sana ....
Nimekuwa nikijiuliza hili swali kila siku, Wana JF ambao mmeajiriwa maofisini, hivi huwa mnapata muda kweli wa kufanya kazi za ofisi? Na mada mnazoposti hususan za mahusiano huwa mnazipata wapi? Utafiti nilioufanya kupitia mtandao huu, takriban 500 JF members huwa wako online muda wote wa masaa ya kazi kwenye Jukwaa la mahusiano na Mapenzi. Je ni kweli kuna matatizo ya kimapenzi kiasi hiki hapa TZ?
Leo pekee topic lukuki zimeshapostiwa kabla hata ya lunch time! Ndg zangu, tufanye kazi muda wa kazi, nchi yetu ni maskini, Ebooo!
Wenu,
HP
nami nimo kwenye orodha ya watuhumiwa?
Nashukuru kwa michango yenu, lengo langu langu lilikuwa kuwakumbusha kuchapa kazi pia maana naamini kuna wengine wanazama sana mpaka kudeliver kazi inakuwa shida. Yumkini kuna watu wako foleni wanasubiri huduma yeye bado anapitia JF. Siyo mbaya ila tukumbuke na kazi pia.
Ngoja niwahudumie watz wenzangu, ntarudi baadaye.