Poa Mchaka Mchaka, hapo ujatoa michano inayoeleweka, hizo yo yo yo Wala ujachanika, bali bro umefoka fokayo yo yo yo yo!!!
Siasa bongo hazieleweki,ufisadi haukwepeki,wanaiba wanajenga masaki, wanafilisi mabenki,waalim wanakesha na chaki,bado najiuliza mapinduzi yataletwa na wenye combat za kaki?,sidhihaki amani haipo ila mabomu na fataki,au tujichimbie handaki.ukoloni mambo leo, Kwa watz haujaleta mshangao,ndo maana tumedek barabara na dekio, kisa ujio wa obama, et rais wa dunia nzima, daah kasababisha tz presida kutetema, na kushindwa kuongea ngeli ya kiutu uzima, watz tunashangilia POWER afrika, iliyoletwa na raisi wa amerika, bila kujua kwa vp na wao watanufaika, mikataba imendela kuwa siri, ndani ya serikari , That's Why mirad mingi inafel , coz kwenye mikataba hakunaga ukweli.
hatutakiwi kuchimba handaki, nguvu ya umma inatosha kudai haki, hata kama magamba yanaota mengine, Wale wakaki wajitahid wayabane, Pia tuendelee kumuomba dear GOD, awaumbue hawa mafisad, hata kama wanaharakat wanawaita magaid, never give up yatupasa tuproceed, wengine wapo jella kama enzi zile mzee mandela , hawatatuweza hata wakitumia nguvu ya dolla ,Siasa bongo hazieleweki,ufisadi haukwepeki,wanaiba wanajenga masaki, wanafilisi mabenki,waalim wanakesha na chaki,bado najiuliza mapinduzi yataletwa na wenye combat za kaki?,sidhihaki amani haipo ila mabomu na fataki,au tujichimbie handaki.
Sent from BlackBerry 9800 using JamiiForums
nguvu ya dola yenyewe inambwelambwela/wezi wakuu wanaachwa wanaotishwa kina kajala/na ndo mana mpaka kova alipekuliwa/rushwa imejaa kwa wingi/nguvu ya dola imegeuka shilingi.......yo yo yohatutakiwi kuchimba handaki, nguvu ya umma inatosha kudai haki, hata kama magamba yanaota mengine, Wale wakaki wajitahid wayabane, Pia tuendelee kumuomba dear GOD, awaumbue hawa mafisad, hata kama wanaharakat wanawaita magaid, never give up yatupasa tuproceed, wengine wapo jella kama enzi zile mzee mandela , hawatatuweza hata wakitumia nguvu ya dolla ,
Kweli rushwa ipo kwa wing, had wa usalama wanakamatwa na bang, Uadilifu hakuna toka ngaz za chini,nenda kajionee rushwa mpaka vijijini, nan atamfunga paka kengele, Kuwazuia hawa watu pesa zetu wasile, ukijifanya tu kupiga kelele, utaaambiwa mchochez na viongoz wale, bora ukimye tu na uwe mpole, labda kutatua matatizo tutasaidiwa na nchi za mbele,nguvu ya dola yenyewe inambwelambwela/wezi wakuu wanaachwa wanaotishwa kina kajala/na ndo mana mpaka kova alipekuliwa/rushwa imejaa kwa wingi/nguvu ya dola imegeuka shilingi.......yo yo yo
Napenda kuwapongeza, kwa yote mliyoeleza, naona kama mnacheza, sijui kama watasikiliza, maana ni meng yalooza, lakin wanajipongeza, nazid kujiuliza, nani atuliwaza?, je wa kaki wanaweza? Ila Magamba yashaoza, na iman yetu walishapoteza...
yo yo yo yo yo!!!
Kweli rushwa ipo kwa wing, had wa usalama wanakamatwa na bang, Uadilifu hakuna toka ngaz za chini,nenda kajionee rushwa mpaka vijijini, nan atamfunga paka kengele, Kuwazuia hawa watu pesa zetu wasile, ukijifanya tu kupiga kelele, utaaambiwa mchochez na viongoz wale, bora ukimye tu na uwe mpole, labda kutatua matatizo tutasaidiwa na nchi za mbele,
Unaweza Ukawa Great, Lakini Sio Thinker, hata kama jf Umember ni wa kwanza kuget, tunakupima kwa post unazoandika, Ukubwa wa pua, Sio Wingi wa makasi, so usijifanye kila kitu unajua , new member kuwaghasi,