Raphael Elias
Member
- Oct 31, 2016
- 35
- 10
Ni muda gani (Umri) sahihi wa kuwa na familia?
Unamaanisha nini?Muda sahihi wa kuoa na kuolewa ni ule muda ambao tayari umeshaachana na starehe zote za uasherati ulizokuwa ukifanya na kuamua kuwa na maisha ya mipango na maendeleo katika familia utakayoianzisha
...yaani kwa mwanaume anatakiwa ale papuchi siyo chini ya 200...na kwa mwanamke agegedwe zaidi ya 50....maana ki ratio wanawake ni wengi....afu baada ya hapo ni kufikilia ndoa sasa.......Ni muda gani (Umri) sahihi wa kuwa na familia?
kuoa au kuolewa ni sawsawa na kuamua kua tajiri au kua masikini. Sasa huwezi kumuuliza mtu lini utakua tajiri au lini utakua masikini. Haya mambo huwa yanatokea automaticallyNi muda gani (Umri) sahihi wa kuwa na familia?
kama unajua uasherati ni nini basi utakuwa umenielewaUnamaanisha nini?
Kwamba kila anayetaka kuoa/kuolewa ni mpaka awe amepitia uasherati!