Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,666
Shukran mpendwa!!!nimekuita uje upokee pongezi zako apa
Shukran mpendwa!!!nimekuita uje upokee pongezi zako apa
Tatizo MziziMkavu ana jina baya but ningekushauri umwite mwanao jina lake, labda umuite kwa kidhungu 'root dry'. Hahahah
Hongera mama
mtoto wa kike au kiume
Hongera mamii, Mungu akukuzie
Mie husema kila siku, JF ni zaidi ya mtandao wa kijamii
Hongereni ma-founder wa Jf
Jamani napenda kutoa shukran zangu za dhati kwa dokta mzizimkavu na madaktari wote wa JF, japo sikuwahi kuleta uzi humu jukwaani lakini nilikuwa najitahidi sana kufuatilia kwa ukaribu miongozo yao na majibu yao kuhusiana na afya ya uzazi.
I was pregnant, na kwa miongozo yao; I thank God nilifanikiwa kujifungua salama mtoto wa kiume. Niliumwa uchungu for almost 2hrs tu.
God bless you dear doctors, muendelee na moyo huohuo wa kujitoa kusaidia wanajukwaa!