relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,188
- 4,765
Usikute nae anataka kuunga juhudi.Kuanzia saa 5:00 asubuhi hii tutakuwa mubashara kupitia ukurasa wa face book wa Chadema Media, M/kiti wa Chadema Kanda ya Pwani na Waziri Mkuu mstaafu Mhe. FREDERICK SUMAYE, atazungumza na taifa kupitia waandishi wa habari, leo Jumatatu 24 Desemba 2018. Usikose.
=====
Updates