muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 154
Serikali mpya ya Misri inaandaa mashitaka ya rushwa na ufisadi dhidi ya rais wao wa zamaniHosni Mubarak ambaye alikosa nchi ya kukimbilia
Okampo naye anaanzisha uchunguzu kuhusu tuhuma za madai ya mauaji na ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na serikali ya Libya tangu tarehe 16 Februari. Kama ushahidi ukipatikana Gaddafi atafikishwa The Hegue
Source: CNN
Okampo naye anaanzisha uchunguzu kuhusu tuhuma za madai ya mauaji na ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na serikali ya Libya tangu tarehe 16 Februari. Kama ushahidi ukipatikana Gaddafi atafikishwa The Hegue
Source: CNN