Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Kabla Mubarak hajatoa hotuba yake, tayari vyombo vya habari vilikwishatangaza kwamba Obama amemwambia atangaze kutokugombea urais Septemba 2011. Siku chache zilizopita walionekana Kama kusema Mubarak andoke madarakani kabla ya Ushawishi wa Israel.
Madai ya wananchi ni moja tu muda wote huu, kwamba Mubarak ajiuzulu mara moja. Sauti hii ya wananchi inaonekana haipendwi na marekani ambao ndio wanaoamua Mubarak afanye nini. Do people matter?
Kama hii ndiyo demokrasia, nadhani tutafakari zaidi, pengine ndiyo maana kila tukipiga kura matokeo yanakuwa tofauti na matarajio ya wapiga kura.
Madai ya wananchi ni moja tu muda wote huu, kwamba Mubarak ajiuzulu mara moja. Sauti hii ya wananchi inaonekana haipendwi na marekani ambao ndio wanaoamua Mubarak afanye nini. Do people matter?
Kama hii ndiyo demokrasia, nadhani tutafakari zaidi, pengine ndiyo maana kila tukipiga kura matokeo yanakuwa tofauti na matarajio ya wapiga kura.