Mwamatandala
Member
- Jul 17, 2009
- 44
- 3
Waungwana,japo ni mara ya kwanza naandika ktk safu hii,naanza na swali moja kwa moja.baada ya kuangushwa rais mubarak wa misri,ningependa mwenye ufahamu juu ya hili anijuze utajiri wa kiongozi huyu.
Waungwana,japo ni mara ya kwanza naandika ktk safu hii,naanza na swali moja kwa moja.baada ya kuangushwa rais mubarak wa misri,ningependa mwenye ufahamu juu ya hili anijuze utajiri wa kiongozi huyu.