BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
Waungwana,
Kenya matatizo yao yalitotokea katika uchaguzi wa Dec, 2007 waliweza kuyamaliza kwa muafaka na kuunda serikali ya mseto. Zimbabwe matatizo kati ya vyama vya ZANU-PF na MDC yamemalizwa kwa muafaka na kukubaliana kuundwa serikali ya mseto. Je, huu muafaka wa CUF na CCM utafikiwa lini? JMK yuko serious kweli kuona muafaka huo unafikiwa au ni anafanya usanii wa kuchelewesha muafaka huo usifanyike mpaka hapo baada ya uchaguzi wa 2010?
Kenya matatizo yao yalitotokea katika uchaguzi wa Dec, 2007 waliweza kuyamaliza kwa muafaka na kuunda serikali ya mseto. Zimbabwe matatizo kati ya vyama vya ZANU-PF na MDC yamemalizwa kwa muafaka na kukubaliana kuundwa serikali ya mseto. Je, huu muafaka wa CUF na CCM utafikiwa lini? JMK yuko serious kweli kuona muafaka huo unafikiwa au ni anafanya usanii wa kuchelewesha muafaka huo usifanyike mpaka hapo baada ya uchaguzi wa 2010?