Muafaka CCM, CHADEMA waiva

Kisiasa muafaka ni jambo sahihi na muhimu sana katika jambo ambalo linahitajika kupatiwa ufumbuzi na mfumo mzima wa marekebisho wa uchaguzi wa umeya wa Arusha ambao haukufuata sheria. Lakini hapo hapo kumeshatokea sauti ya kiongozi mmoja upande wa ccm ambaye
kauli yake imeshaanza kutia dosari swala zima la kukaa meza moja na kumaliza mgogoro uliokuwepo ili wananchi waweze kupata maendeleo.
Amna ugumu katika swala zima ni kwamba kile kilichofanywa kinyume cha sheria au kimabavu kurekebishwa na huo ndio maana ya muafaka
baina ya vyama vya siasa. Na kila kitu uwa kinakuwa katika maandishi, na sio kauli ya mdomo tu ambayo unasema ndio unayoiamini,
Mwanasiasa lazima uwe mwerevu wa akili na sio uropokaji wa kimashindano angalia watanzania wanahitaji nini, ina maana wewe mwenyewe
uoni kwa macho ila mpaka uambiwe kama nchi inaelekea wapi, hiyo kauli yako isiyokuwa na mshiko ni ya kujinufaisha binafsi na kutukomoa
watanzania tulio wengi, Hata huko habitable zone out of our solar system watu awaishi hivyo,
Na kuhusu madiwani wa Arusha wale tuwaite wendawazimu, kwa sababu awajui wanachokifanya, walishavuliwa uanachama na
hawana matatizo na Chadema, na hayo ya kwenda mahakamani ni kutokuwa na usikivu na uelewo mdogo kwa kutolitambuwa kosa lao.
Ilitakiwa waombe radhi katika kamati kuu ya CDM na wabakie kuwa wanachama tu na sio kwenda mahakamani, aina hizi za siasa ni za
kuvimbisha matumbo yao na kuwaacha wananchi katika hali ngumu amna maendeleo hapo. Na Ccm ndio kwanza wanafikiria siasa ya ujamaa na kujitegemea ambayo vidonda vyake vimebakia mpaka hii leo, hiyo ni njia moja wapo ya kuendeleza udikiteta, hiyo ina maanisha ni uchovu
wa akili na kufikia kiwango cha mkwamo wa mawazo, maana yake kutawala kwa kutumia nguvu kwa fikra na mawazo potofu ya mtu mmoja
na kuwakandamiza na kuwanyima haki watanzania walio wengi. ina maana auna idea mpya za kuleta maendeleo katika kipindi hichi cha utawala
wenu,
 
Itapendeza sana kama watafika mwafaka bila MTAFARUKU,nina imani kubwa na hiyo timu ya chadema ikiongozwa na KAMANDA SLAA,kitaeleweka tu!
 
Mkuu akina malla na wenzake mpango wao ni kuwa kata zilizo chini yao zisiwe na maendeleo mpaka 2015 kitu ambacho kitamfanya Lema asipite kwenye kata hizo 4 na hilo linafanywa kwa ushirikiano wa karibu kabisa na serikali ya CCM ili kulikomboa jimbo la Arusha mjini, kuna wakati huwa najiuliza hivi Arusha mjini kuna dhambi gani kuongozwa na upinzania watu wanatumia kila mbinu imradi tu kulirudisha jimbo hili CCM...
 

*mmethubutu kufanya nini?
*mmeweza kufanya nini?
*mnaenda wapi mkitokea wapi?
 

Aisee kama unafundisha chuo kikuu basi hicho chuo kina zaa vilaza balaa! au wewe ndiye mwalimu wa Nape huko Mzumbe? Maana ndio inaongoza kwa Degree hewa Dr. Kamara, Dr. Nchimbi, Dr. ....;

Hauna hoja hapo ndugu yangu naona unafanya siasa za CCM za enzi ya enhee TANU ya jenga nchni TANU enhee TANU ya jenga nchni.

Lowasa mnamtaka yeye na wenzake waachie ngazi CCM kwasababu wameikosea nini CCM kama kwako wewe makosa ya watendaji wa serikali haiyausu CCM?
 
Nilikuwa nina amini kuwa Dr W.Slaa ni muarobani katika kujibu maswali kumbe naye ni walewale. Nataka nijue katika hatua hii tuliofokia mazungumzo ya muafaka yanafaida gani kwa chadema? Madiwani wa meshafukuzwa kutoka chamani ni mjinga tu ndiye anayeweza fikiria kuwa cdm haina mgogoro na madiwani walio fukuzwa. Kesi zinazotokana na sakata hili ziko mahakamani, watu wamepoteza maisha na kupata vilema kwenye sakata hili n.k, sasa nataka kujua kutoka kwa Dr au mwingine yeyote anayeza kumsaidia katika mazingira haya mazungumzo ya muafaka yanatija yeyote kwa cdm?
 
...Kwa ushauri tu...Wakati Mwingine Kukaa Kimya Ni Busara, hizi ni dalili za kufikia mwisho wa uwezo wa kufikiri, jitahidi sana kuongeza bidii ya kufikiri, itakusaidia sana....

Hizo ndizo nguzo zenu za kuchambuwa uwezo wakufiki ndio maana chama hakina hata mtu mmoja mwenye uwezo wa kufikiri, tokea Lowasa aondeke serikali CCM haijawai kufanya lolote hapa Tanzania zaidi ya kuchangisha fedha za kuhonga Wabunge badala ya kuchangisha fedha za kununua mitambo ya Umeme!

Hata Lowasa alipowapo waambia hamwezi kufanya lolote na hata uthubutu wa kufanya maamuzi ya maendeleo hamna, mmeishia kutengeneza kauli mbiu ya thumethubuthu...! Huku mzizunguka nchni nzima kubomoa chama chenu katika mapande ya CCJ, CCK, CCM Mtandao na CCM kasuku.
 

Muulize Tendwa aliyeitisha mazungumzo, alafu kama unadhani Dr hawezi kujibu maswali jaribu kwa Kikwete.
 
Wow! very strong statement! - I think u have gone overboard, something is very wrong! umejikanyaga sana mkuu wangu labda kapumzike kidogo upate upepo..Nimekusoma na sikutaka kuamini kama kweli haya yametoka kwako.
 

Muulize Tendwa aliyeitisha mazungumzo, alafu kama unadhani Dr hawezi kujibu maswali jaribu kwa Kikwete.

Kama kumbukumbu zangu nzuri Mbowe ndiye alituambia wameenda kumuona PM na PM akamuagiza Tendwa. Sasa mlisha andamana, mlishafukuza madiwani, maandamano yame sababisha maafa (hamkufikiria hata kuwaomba nato wawasaidie). Mnapo rudi kutaka kutumia solution ambayo mlitakiwa kuitumia awali hapo ndipo wengine tuna kwazika, je mnatofauti gani na magamba katika hili? Hivyo tu basi.
 
muolewe mara ngapi?
 

better 1 patriotic PhD than 100 opportunistic and corrupt PhDs
 
Wow! very strong statement! - I think u have gone overboard, something is very wrong! umejikanyaga sana mkuu wangu labda kapumzike kidogo upate upepo..Nimekusoma na sikutaka kuamini kama kweli haya yametoka kwako.
Overboard huh?
 
Vipi Mkuu Hoja Ya Kiswahili Unaijubu kwa Kiingereza eeh! Ushakuwa Jesca Brown! Wa Igizo la Tausi Kenya!!
 

Hivi mgogoro wa madiwani na ule wa Meya upi ni shina na upi ni matunda? Na je nani ni mzizi unao ulisha hilo shina linaloendelea kuzaa matunda ya mgogoro huko Arusha? Ebu jaribu kuyajibu hayo maswali utagundua ni vipi kina magamba wanahusika katika sinema nzima ya action ya Arusha Mayoral Saga!
 
Kwa mtaji huu Tanzania itaendelea iwapo tu kuna Miujiza!!!!!!!
 
Reactions: Ame
Lowasa mnamtaka yeye na wenzake waachie ngazi CCM kwasababu wameikosea nini CCM kama kwako wewe makosa ya watendaji wa serikali haiyausu CCM?

Huu ni upungufu wa akili, sasa kama mawazo yako ni sahihi kwanini mnalazimisha kuzungumza na CCM wakati kila siku mnakwenda kunywa chai na Pinda? Kwani Pinda si ndio CCM kwa mujibu wa maelezo yako? Endeleeni na Pinda hamna sababu ya kulazimisha kuolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…