POtezwadiHuo mda sina , kama unashindwa kujibu hapa potezea
POtezwadiHuo mda sina , kama unashindwa kujibu hapa potezea
Wanasubiri Rostam awaelekeze wa kumuuaHawana muda huo
Kama Pole Pole kwa mdomo wake kasema ni member wa jf basi hata wao yawezekana wapoWaliombambikizia kesi wapo humu jf au umeamua kumpigia mbuzi gitaa ?
Usiamini kila linalotoka kwenye mdomo wa Polepole. La kuambiwa changanya na lakoKama Pole Pole kwa mdomo wake kasema ni member wa jf basi hata wao yawezekana wapo
kesi ishafika mahakamani pilato ni hakimu huezi ingilia katiIlianzia nje ya mahakama na hata maamuzi yanaweza kutoka nje ya mahakama.
Serikali haina dini mkuu, Acha udiniByeyombo, kama ulivyojiita....kelele tupu!
Power is invariably personal; there is no group power! Amri inatoka kwa mtu mmoja mwenye madarska makubwa na imani fulani ya dini ambaye kwa muonekano wa nje ni muumini mzuri kumbe kaficha UOVU usio kifani
Ndiyo walikudanganya mambo huenda hivyo Tanzania?kesi ishafika mahakamani pilato ni hakimu huezi ingilia kati
Hii nchi ni yetu sote!Nenda gerezani kwa niaba yake.
Tukuamini wewe kkkkmmmmkkUsiamini kila linalotoka kwenye mdomo wa Polepole. La kuambiwa changanya na lako
sasa unataka serikali iingilie mahakamaNdiyo walikudanganya mambo huenda hivyo Tanzania?
Iwe mara ya ngapi unataka?sasa unataka serikali iingilie mahakama
hii ni awamu ya ngap?Iwe mara ya ngapi unataka?
Una changamoto ya kuelewa ?Tukuamini wewe kkkkmmmmkk
Ya tano kasarobo.hii ni awamu ya ngap?
basi awamu hii mahakama ndo inatoa hukumuYa tano kasarobo.
Hakuna aliyekubishia katika moja na nne zako.basi awamu hii mahakama ndo inatoa hukumu