Mu Hali ghani wana Jamvi

Mu Hali ghani wana Jamvi

Duzente Siqwente

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2012
Posts
265
Reaction score
60
Nimewakumbuka sana wana jamvi hope mko poa na mnaendelea na majukumu zenu za kila siku nichukue nafasi hii kuwapa pole wale wote waliopoteza wapendwa wao na wale wote walifikwa na magonjwa tofauti niwape tu moyo wa subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu ALLAH awape wesi na nguvu warejee ktk hali zao za kawada na waweze kuendelea na majukum yao ya kila siku
 
Kwa maneno haya nalazimishwa niamini kwa "asili zote za mia"
kwamba pombe umeacha !
Nway Ameen .
 
Nawe mkuu,tunakutakia kila lililo la kheri.
Nalog off
 
Nimewakumbuka sana wana jamvi hope mko poa na mnaendelea na majukumu zenu za kila siku nichukue nafasi hii kuwapa pole wale wote waliopoteza wapendwa wao na wale wote walifikwa na magonjwa tofauti niwape tu moyo wa subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu ALLAH awape wesi na nguvu warejee ktk hali zao za kawada na waweze kuendelea na majukum yao ya kila siku

Ahsante sana....
 
Back
Top Bottom