Mtwara: Wafanyakazi Idara ya Afya wapigwa Marufuku kutumia neno "Boss"

Hili tamko mbona kama linajirudia, ama akili yangu ndo imedanganyika? Nakumbuka kauli kama huko Masasi miaka kadhaa iliyopita
 
Aisee mbn sisi uku makambini wakuu wetu tuna waita maboss kama kawaida...ni ushamba uwo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…