Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,815
- 11,991
Hii Awamu na Ujinga ni kama Uji na Mgonjwa...Sasa Kwani Mkuu/Kiongozi si ndo Boss kwa Kiingereza?Wakuu,
Halmashauri ya Mji wa Masasi Mkoani Mtwara, imepiga marufuku watumishi idara ya afya kuwaita Vongozi wao kwa kutumia neno Boss.
Wametakiwa kutumia neno Mkuu, Kiongozi , Madam/Sir
View attachment 1655304
Vijana kaz ipo.Wakuu,
Halmashauri ya Mji wa Masasi Mkoani Mtwara, imepiga marufuku watumishi idara ya afya kuwaita Vongozi wao kwa kutumia neno Boss.
Wametakiwa kutumia neno Mkuu, Kiongozi , Madam/Sir
View attachment 1655304