Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,008
- 26,318
He is bossing
He is leading
He is leading
Nina wasiwasi kuwa, KIKWAO huyo ndugu neno BOSS/bosi ni tusi/kejeli.Huko ni kupoteza muda na rasilimali za serikali bure, Mkuu wako ukimwita kwa jina lolote mambo yanakwenda tu hivi shida ipo wapi?
Wagonjwa mahodini wanagonja huduma, hospitali/kituo chenyewe hakina dawa na vifaa tiba vya kutosha badala ya kukaa mjadili mahtaji tunakaa tunadiscuss jinsi ya kuitana vyeo!
Kama zuzu ,ulikuwepo unavyopingaSiyo kweli...hawawezi kuiitana hivyo kwa Kila mmoja...
Kwa bahati mbaya, hili tangazo halina tarehe na inawezekana ni la siku nyingi. Ila itapendeza kama wataitwa Waheshimiwa kwa vile kila boss anapenda aitwe hivyo.Hili tamko mbona kama linajirudia, ama akili yangu ndo imedanganyika? Nakumbuka kauli kama huko Masasi miaka kadhaa iliyopita
Lugha hiyo ya zuzu ni ya people's ...Kama zuzu ,ulikuwepo unavyopinga