Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,806
- 11,968
Wakuu,
Halmashauri ya Mji wa Masasi Mkoani Mtwara, imepiga marufuku watumishi idara ya afya kuwaita Vongozi wao kwa kutumia neno Boss.
Wametakiwa kutumia neno Mkuu, Kiongozi , Madam/Sir kama ilivyo JamiiForums
Halmashauri ya Mji wa Masasi Mkoani Mtwara, imepiga marufuku watumishi idara ya afya kuwaita Vongozi wao kwa kutumia neno Boss.
Wametakiwa kutumia neno Mkuu, Kiongozi , Madam/Sir kama ilivyo JamiiForums