Mtwara: Wafanyakazi Idara ya Afya wapigwa Marufuku kutumia neno "Boss"

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,746
11,875
Wakuu,

Halmashauri ya Mji wa Masasi Mkoani Mtwara, imepiga marufuku watumishi idara ya afya kuwaita Vongozi wao kwa kutumia neno Boss.

Wametakiwa kutumia neno Mkuu, Kiongozi , Madam/Sir kama ilivyo JamiiForums

IMG_20201220_181426_032.jpg
 
Hili tamko mbona kama linajirudia, ama akili yangu ndo imedanganyika? Nakumbuka kauli kama huko Masasi miaka kadhaa iliyopita
 
Aisee mbn sisi uku makambini wakuu wetu tuna waita maboss kama kawaida...ni ushamba uwo...
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom