DOKEZO Mtwara: Vumbi la makaa ya mawe katika bandari

DOKEZO Mtwara: Vumbi la makaa ya mawe katika bandari

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,810
Reaction score
60,668
Serikali mnajua kabisa jinsi vumbi la makaa ya mawe ilivyo shida kwa wananchi wake mnatuumiza vifua. Vumbi linatembea zaidi ya kilometer 2 kutoka yanapopakuliwa makaa kuingizwa katika meli. Mitaa kuzunguka bandari ukifunga tu nyumbani kwako ukasafiri siku tatu ukirudi ni aibu vumbi lake huliwezi.

Tunakohoa ovyo sasa ukija ukapigwa na corona si ndo kabisa unabanwa kifua unazikwa. Fikirieni cha kufanya aidha muhamishe bandari ya kupakia makaa ya mawe iwe mbali na makazi ya wananchi.
 
Uko serious na comment hii?
Kuna sehemu mikindani nimeona mlima wa makaa huenda wameamua wajenge kabandari cha muda kule kwani kujenga bandari special kwa kupakia makaa tu inagharimu hela nyingi sana ukizingatia mtwara kina kirefu katika pwani yake
 
Back
Top Bottom