blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 13,606
- 17,122
Duuuuh hapo vitoweo nje nje tena vimeiva kabisa
Yeah! Ni kujisevia tu,
Duuuuh hapo vitoweo nje nje tena vimeiva kabisa
Hakuna liliharibiwa na wananchi wenye hasira kwenye maandamano ya chadema mwaka jana.
Zile Fedha za ESCROW mlizogawana kwenye magunia pale Stanbic zingetosha kununua japo magari kadhaa ya zimamoto na kuyasambaza katika Halmashauri za wilaya. Ni halmashari za wilaya chache sana zenye huduma hii, tena yawezekana HAKUNA kabisa.Hakuna liliharibiwa na wananchi wenye hasira kwenye maandamano ya chadema mwaka jana.
Kweli Zitto maisha kisiasa mpaka anakwenda kuhutubia kwenye ajali?
Hivi kama tatizo ni shoti ya umeme,Tanesco wamekuwa wakikwepa sana upande wao kesi za namna hii kweye kulipa fidia.Inasemekana moto ni mkubwa sana na chanzo inasadikika ni shoti ya umeme lakini kwa aliyekaribu zaidi atupe news zaidi