Mtwara mpya 2030

Dah...ujinga mtupu...peleka midogo yako shule.....bila hivyo wataishia kuwakaangia wageni chips na kujiuza...
Acha ujinga.. tatizo umekariri au kukaririshwa kuwa eti watu wa kusini hawana elimu.. sasa endelea kukariri hivyo hivyo na mwisho wa siku hamtokaa mtoe kiongozi yeyote mkubwa nchi hii.. Wengi wana elimu zaidi yako.. Mtakuja kunikumbuka haya nayosema kuwa ZAMA ZA KUTEGEMEA KAHAWA NA CHAI HAZINA NAFASI... WATU WANAELIMU NZURI SANA TENA KTK ISHU ZA SAYANSI..
 
Hii post ina undertones kali za ukanda.Iko subjective mno. Sijaipenda na nimetafuta kidude cha dislike sijakiona!
 
Aliyepewa kapewa tu na huzidi kuongezewa wee subiri uje mkimbizwe na wachaga, wanyakyusa na wahaya humo kama wazaramo wa dar walivyokimbizwa
 
Wakati fulani tutahamia Mtwara au Lindi kutoka Arusha kufuata fursa hizo kweli future ya Kusini ni kuubwa sana na uchumi wa nchi hii sasa utatoka huko baada ya miaka mingi ya kupwaya
 
Uzuri wake nimekaa Mtwara na nimefanya kazi katika Oil and Gas zaidi ya Tanzania kwa hiyo naandika ninachokifahamu Afrika regarding Oil and Gas na Impact yake katika jamii...kimaendeleo. Wewe endelea kuzubaishwa na maneno ya wanasiasa
 
Angalia Geita, Mererani, Mwadui na sehemu nyingine kuna nini tangu madini yagunduliwe! Sasa nashangaa kutegemea maajabu Mtwara
 
Mkuu unaizungumzia Abu Dhabi ya wapi?

Hii ndio Abu Dhabi yenyewe!

 

Mtwara ni mji ambao unavutia, nimependa jinsi ilivyo, kwa-kweli tanzania imebarikiwa basi tu uongozi ndio ivyo unatuangusha...
 
Mtwara Ni miongoni mwa maeneo yanayokuw harak zaid kiuchumi kwa mkoa but Kuna vchocheo vingi vnavopelekea but c gesi Kama gesi pekee tuache ushabik Na upenz
 
Uzuri wake nimekaa Mtwara na nimefanya kazi katika Oil and Gas zaidi ya Tanzania kwa hiyo naandika ninachokifahamu Afrika regarding Oil and Gas na Impact yake katika jamii...kimaendeleo. Wewe endelea kuzubaishwa na maneno ya wanasiasa
Kijana ulikuwa kampuni gani tuanzie na hapo...
 
Angalia Geita, Mererani, Mwadui na sehemu nyingine kuna nini tangu madini yagunduliwe! Sasa nashangaa kutegemea maajabu Mtwara
Kumbuka mtwara sio madini ni nishati.. Alafu unaweza nitajia nchi TAJIRI DUNIANI KWA SABABU YA MADINI?? Ukizitaja hizo taja nchi tajiri kwa uwepo wa Mafuta na gesi... ni rasilimali tofauti kabisaa na hata matumizi hayafanani.. kwa kifupi kiuchumi GOLD tunaweka katika kundi la LUXURY GOODS... kwa maana hata usipotumia huwezi athirika.. bt OIL & GAS usipotumia basi lazima uwe masikini wa kutupwa.. na hapa ndipo tulipo sasa.. tuanze kutumia gesi na mafuta kukomboa nchi yetu.. Madini hata Zambia na DRC yapo na hakuna maendeleo..
 
Nadhani hujanielewa...nimetoa mfano tu. My point ni kwamba hakutakuwa na Lolote la ajabu Mtwara kama wengi mnavoaminishwa. Tusubiri Tuone.
 
Hahahha OPHIR ilimaliza muda wake tangia 2012 ikawa replaced by BG... sasa wewe unazungumzia miaka minne nyuma???? Acha unafiki kijana.. Nenda tena MTWARA uone kinachotokea.....
 
Mtwara saa 4 usiku hupati chakula mjini, maeneo ya bima. Maduka saa 2 ndiyo wanafungua. Wanawake wa najua kutumia kuliko kutafuta. Bado mmenyata mtasubiri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…