Mtwara [Mahuta] kumetokea vurugu.

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,101
6,025
Mabomu yanarindima polisi wamepagawa...ni vita kati ya polisi na raia wenye hasira. Nasikia kuna ajali ilitokea,kuitwa polisi wakaleta majibu ya dharau,raia wakachoma pikipiki ya polisi...pashanuka. Stay tuned!!!!!!
 
ha ha ha ha ha ha mpaka kufika 2015 tutakuwa tumeheshimiana tu .....tuoe habari zaidi @Sizinga
 
....nilishasema, huyu IGP analipeleka jeshi kubaya na ipo siku atashangaa yeye na familia yake ndo wanapigwa mabomu ya machozi !! Huyu amesahau kazi yake amerukia kazi za ukada, yupo busy kutoa mada kila siku ktk semina za magamba na kuendesha intelejensia za kipanzi-panzi !! Ndo maana jeshi limejaa majambazi...
 
Duh nimesikia vibibi vizee vyotewvimefungiwa ndani,masela wanapambana kitaa.
 
Mabomu yanarindima polisi wamepagawa...ni vita kati ya polisi na raia wenye hasira. Nasikia kuna ajali ilitokea,kuitwa polisi wakaleta majibu ya dharau,raia wakachoma pikipiki ya polisi...pashanuka. Stay tuned!!!!!!

Polisi walikua na pkpk wakimkimbiza dereva pkpk ambae hakuvaa Helment,bahati mbaya wakagonga watoto mw2 waliokua kwenye Baiskeli, wananchi kwa hasira wakaanza kuwapiga hao Askari ndipo mabomu na Risasi za moto vilipoanza, Majeruhi mmoja wa Risasi amelazwa Hospitali ya Wilaya Newala.
 
Polisi walikua na pkpk wakimkimbiza dereva pkpk ambae hakuvaa Helment,bahati mbaya wakagonga watoto mw2 waliokua kwenye Baiskeli, wananchi kwa hasira wakaanza kuwapiga hao Askari ndipo mabomu na Risasi za moto vilipoanza, Majeruhi mmoja wa Risasi amelazwa Hospitali ya Wilaya Newala.


hao mapolisi wa pikipiki ni washenzi sana, inabidi wananchi wawashikishe adabu.
 
Nasikia jamaa wahapo ni noma,si ndiyo nasikia walishawahi kuiba hadi maiti ya mtoto.Chezea Mahuta weyeeee!!
 
Eeh! halafu wakaifanyaje?

Sijui waliitumia kwa mambo ya kishirikina,sina uhakika waliitumia vipi lakini hiyo story ni maarufu sana kuhusu Mahuta kwa wakazi wa karibu na eneo hilo.Jamaa ni wakorofi halafu kwa wizi ni professional.
 
That is a very beautiful lesson to the policemen. Serikali legelege hufukuzana na bodaboda na mamantilie wakati Barric wanapeleka kwao madini yetu kwa kulindwa na polisi wa serikali, na mawaziri wana na makatibu wakuu na hata marais (nani anajua?) wanaficha mahela yetu Uswisi. Bora wamakonde wamewafunza adabu wajifunze kufikiri. Bravo njomba.
 
Back
Top Bottom