Mtwara kuna nini mpaka ipoe miaka ya hivi karibuni?

Bila kusahau kuliua jiji la DSM ambalo ndilo kubwa lao la Upinzani. Hakika ndugu yule alikuwa mtu wa chuki na visasi. Hivi kwa maendeleo ya mkoa wa DSM na uchangiaji wake kwenye pato la Taifa unaweza kulivunja? Jiji la miaka nenda Rudi? Jiji la historia? Akaacha Ilala iwe jiji kwa kuwa Ikulu iko Manispaa ya Ilala. Maeneo ya Kinondoni, Ubungo, Kawe, Kibamba kote ni Fire. Kigamboni alimanusura. Mimi ni .CCM lakini kwa kuwa tuliruhusu upinzani sioni sababu ya kuwachukia maana hata ndugu zetu na majirani wapo ambao ni Wapinzani. Je tutawachukia na kuwatenga? Muhimu huwa tunapingana kwa hoja tukikutana na hatujawahi kuwa maadui. Nimefurahi kuwa Mh. Rais sasa watakaa meza moja na wenzetu Wapinzani. Mwisho wa siku sote ni Watanzania.
Yule jamaa hakuwa mtu wa kawaida aisee
 
Baada ya kugundulika gesi mtwara pamoja na mafuta kulikuwa na kampuni za kigeni nyingi zikifanyia tafiti, kampuni hizi ziliajiri raia wengi wa kigeni kutoka south Africa, Nigeria, Zambia , Zimbabwe na wazawa pia .

Alstar ilijikita pale bandarini mwisho wa siku ikafungasha virago.

Hizi kampuni zilichangia kiasi kikubwa wafanyabiashara wazawa pia kuingia mtwara kuaza kuwekeza Ilhali hizi kampuni zingekuwepo mpaka leo mtwara ungekuwapo Kati ya miji mitamu Sana nchini Tanzania.

Mwendazake kauharibu huu mji kwa kiwango kisichoelezeka.
Ww Ni mwenyeji wa mtwara pale pwani ya msijute alistar alianza kuwekeza lkn akaufyata naamin atarudi...
 
Maswali chonganishi ilihali ukifahamu majibu yake huo nao ni Uchawi.
 
Jamaa ndio jiwe ndo wakwanza kulaumiwa ndio maana akaamuw ndani ya miaka 6 amekuja Mara moja na hakuwah kuanzisha hata mrad mmoja c Barbara hospital Wala shule
 
A
Kuna jamaa mmoja jirani yetu alifariki sasa alikuwa na Roho mbaya sana. Wachimba kaburi wakawa wanachimba huku wanasema. Tuchimbe futi nyingi ili Marehemu asije akaamka akaweza kupanda Arudi DUNIANI. Mwingine akakazia hivi ni wapi tutapata lile Jiwe la Fatuma (jiwe kubwa wanalofumia wezi kuvunjia milango ya nyumba miaka ya zamani kabla ya Teknolojia ya silaha. Japo bado baadhi ta maeneo yanatumika) tuweke juu ya kaburi hata akifufuka asiweze kutoka. Nilihadithiwa nikashangaa sana. Maajabu hayataisha duniani.
Acha kudanganya watanzania hivi huoni aibu akili yako kulaumu watu waliokufa. Akili yako lazima itakua imekufa hiyo sio bure fanya kukimbia ukaombewe akili yako imezikwa hiyo.
 
Mtu pori jiwe alikua anaiharibu nchi,
yule mrundi alikua hovyo sana aisee
Bora hata nature ilipofanya kazi yake mapema maana hali ilikua mbaya huko mataga wakimuimbia mapambaio

Haleluya hosana mbarikiwa mungu mtu toka chato hakika ametufikisha uchumi wa kati!

Vibwengo wale wangejua?

Dadeq!
 
Bila kusahau kuliua jiji la DSM ambalo ndilo kubwa lao la Upinzani. Hakika ndugu yule alikuwa mtu wa chuki na visasi. Hivi kwa maendeleo ya mkoa wa DSM na uchangiaji wake kwenye pato la Taifa unaweza kulivunja? Jiji la miaka nenda Rudi? Jiji la historia? Akaacha Ilala iwe jiji kwa kuwa Ikulu iko Manispaa ya Ilala. Maeneo ya Kinondoni, Ubungo, Kawe, Kibamba kote ni Fire. Kigamboni alimanusura. Mimi ni .CCM lakini kwa kuwa tuliruhusu upinzani sioni sababu ya kuwachukia maana hata ndugu zetu na majirani wapo ambao ni Wapinzani. Je tutawachukia na kuwatenga? Muhimu huwa tunapingana kwa hoja tukikutana na hatujawahi kuwa maadui. Nimefurahi kuwa Mh. Rais sasa watakaa meza moja na wenzetu Wapinzani. Mwisho wa siku sote ni Watanzania.
Hakuna sehemu inayojengwa kama Dar kwa Tanzania. Sema una chuki zako binafsi
 
Miaka ya hivi karibuni nimeshuhudia idadi ndogo ya watu kuliko kipindi cha miaka ya 2014 nilipokuja mara ya mwisho Mtwara.

Biashara nyingi zimefungwa, vyuo vimepunguza udahili na pia maeneo mengi yapo kimya kuliko kawaida.

Mtwara ni moja ya miji yenye potential kubwa sana Tanzania. Kama kuna mkoa ulitakiwa kuwa vizuri baada ya Dar, Mwanza, Arusha na Tanga basi ni Mtwara a.k.a Gas city

Nini kinaendelea kuifanya Mtwara ipoe?
Hii hospitali inajenywa wapi vile.
Eb6ekIZWAAABRna.jpg
 
Baada ya kugundulika gesi mtwara pamoja na mafuta kulikuwa na kampuni za kigeni nyingi zikifanyia tafiti, kampuni hizi ziliajiri raia wengi wa kigeni kutoka south Africa, Nigeria, Zambia , Zimbabwe na wazawa pia .

Alstar ilijikita pale bandarini mwisho wa siku ikafungasha virago.

Hizi kampuni zilichangia kiasi kikubwa wafanyabiashara wazawa pia kuingia mtwara kuaza kuwekeza Ilhali hizi kampuni zingekuwepo mpaka leo mtwara ungekuwapo Kati ya miji mitamu Sana nchini Tanzania.

Mwendazake kauharibu huu mji kwa kiwango kisichoelezeka.
Kujenga jengo kama Hilo kumbe ni kuharibu
Eb6ekIZWAAABRna.jpg
 
Hakuna sehemu inayojengwa kama Dar kwa Tanzania. Sema una chuki zako binafsi
Maeneo yapi vile? Jiji kongwe ujue hivyo? Barabara za mitaani hovyo. Miundombinu hovyo. Mvua kidogo tu unakuwa barabarani masaa 8.
 
Laanatullah Jiwe.
Jiwe ni kuharibu tu kila jambo.
Jana tulikaa kikao cha baraza ka wafanyakazi, mabosi hawana jipya zaidi ya kuongelea madaraja ya watumishi.
 
Back
Top Bottom