Mtwara: CUF wamtosa Murji na kumlinda Membe

Mtwara: CUF wamtosa Murji na kumlinda Membe

mahwelu

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
322
Reaction score
253
Ngugu wanajamvi,

poleni na kazi zenu za uchambuzi. Jana kama mlivyofahamishwa ni kwamba mbunge wa Mtwara Mjini ndugu mMurji kakamatwa kuhusiana na siasa za mtwara na mambo ya gesi. Sababu hasa ya kukamatwa ni maelezo ya ndugu Katani.

Katani na wafuasi wake wakilalamika kwamba polisi wanawabagua na kumpendelea magamba ambao ni kweka na Murji ambao kulingana na kauli zao ni wahusika wakuu kwani kweka ndiye aliyetoa gharama za kununua milipuko na ndiye ambaye aliwanunulia vijana bodaboda kipindi cha kutaka kuwa mjumbe wa NEC na baada ya hapo anawatumia vijana hao kama atakavyo.

Cha ajabu wamekacha kumtaja Membe ambaye kupitia msimamizi wa hotel zake Membe za "naf blue, na fan city na mpya iliyopo shangani" amewahakikishia wale wote ambao watakamatwa akishakuwa raisi 2015 atatumia mamlaka yake kuwatoa gerezani. Pia ndiye aliyewaambia vijana kwamba waendelee na machafuko kwani kama waziri wa mambo ya nje anahakika Marekani na Obama wako upande wao so waendelee.

Kinachoniuma ni kwanini CUF wamekuwa wasaliti kiasi hiki? Vipi Lipumba mbona naye kaongea mengi wao kwanini hawamtaji?

Mbona pia kijana ambaye anajinadi kuwa mbunge ajaye wa Mtwara mjini Mussa Chimae kasema mengi hawamtaji au kwakuwa kaolea kwao?

Yaniuma sana nawaona CUF wasaliti sana.

Tutafika tu.
 
Mwaka 2015 ..Membe hatapata cheo chochote Baada ya uchaguzi ...Kama ameshindwa kutoa tamko hata la kulaani tu ...Kama kuwatuliza wapiga Kura wake ameshindwa..basi ni wazi 2015 Kama alipoteuliwa kuombea anaweza kuwa muasi ...kutaka Kusini ijitenge...Kama mtu mwenye tamani urais huu ulikuwa wakati Muafaka wa kudhihirisha uwezo wake Kitaifa
 
Mada mloleta jamvini ni ya kifitina acheni propaganda za kuchonganisha watu Cdm siasa imewashinda
 
Ngugu wanajamvi,

poleni na kazi zenu za uchambuzi. Jana kama mlivyofahamishwa ni kwamba mbunge wa mtwara mjini ndugu murji kakamatwa kuhusiana na siasa za mtwara na mambo ya gesi. Sababu hasa ya kukamatwa ni maelezo ya ndugu Katani.

Katani na wafuasi wake wakilalamika kwamba polisi wanawabagua na kumpendelea magamba ambao ni kweka na murji ambao kulingana na kauli zao ni wahusika wakuu kwani kweka ndiye aliyetoa gharama za kununua milipuko na ndiye ambaye aliwanunulia vijana bodaboda kipindi cha kutaka kuwa mjumbe wa nec na baada ya hapo anawatumia vijana hao kama atakavyo.

Cha ajabu wamekacha kumtaja membe ambaye kupitia msimamizi wa hotel zake membe za "naf blue, na fan city na mpya iliyopo shangani" amewahakikishia wale wote ambao watakamatwa akishakuwa raisi 2015 atatumia mamlaka yake kuwatoa gerezani. Pia ndiye aliyewaambia vijana kwamba waendelee na machafuko kwani kama waziri wa mambo ya nje anahakika marekani na ubama wako upande wao so waendelee.

Kinachoniuma ni kwanini CUF wamekuwa wasaliti kiasi hiki? Vipi Lipumba mbona naye kaongea mengi wao kwanini hawamtaji?

Mbona pia kijana ambaye anajinadi kuwa mbunge ajaye wa mtwara mjini mussa chimae kasema mengi hawamtaji au kwakuwa kaolea kwao?

Yaniuma sana nawaona CUF wasaliti sana.

Tutafika tu.



Upumbavu huo,
Taaarifa hizo za ajabu ajabu wapelekee wajinga wajinga,

HAKUNA DIVIDE AND RULE KATIKA SUALA LA GESI,NA KWA KWELI KWA HILO HUTAFANIKIWA HATA KWA NAMNA GANI
 
Yote haya yatafika mwisho tu wote wataweza kutajana tu dola si mchezo bwana.
 
Bado hainiingii akilini kuwa mbunge amekamatwa kwa uchochezi wakati yeye yupo upande huohuo wa serikali na hata walivyozindua kiwanda cha saruji kauli za mbunge huyu huyu zilionesha wazi kua yupo upande wa serikali,kukamatwa kwake kwa mtazamo wangu wanataka kuwafariji wananchi kuwa sio viongozi wapinzani peke yao ndio wanakamatwa bali hata viongozi wa ccm ili waendelee kuwa na imani na ccm na hasa wanatamani sana wananchi wawachukie wale viongozi waliounda umoja wa masuala ya gesi,ninatamani sana ule umoja waliouonesha wananchi kwenye masuala ya gesi basi uonekane kwenye chaguzi zijazo ebu tubadili aina ya mboga wanakusini tuachane na ccm kwanza na tuangalie upande mwingine unanogaje.
 
Ngugu wanajamvi,

poleni na kazi zenu za uchambuzi. Jana kama mlivyofahamishwa ni kwamba mbunge wa mtwara mjini ndugu murji kakamatwa kuhusiana na siasa za mtwara na mambo ya gesi. Sababu hasa ya kukamatwa ni maelezo ya ndugu Katani.

Katani na wafuasi wake wakilalamika kwamba polisi wanawabagua na kumpendelea magamba ambao ni kweka na murji ambao kulingana na kauli zao ni wahusika wakuu kwani kweka ndiye aliyetoa gharama za kununua milipuko na ndiye ambaye aliwanunulia vijana bodaboda kipindi cha kutaka kuwa mjumbe wa nec na baada ya hapo anawatumia vijana hao kama atakavyo.

Cha ajabu wamekacha kumtaja membe ambaye kupitia msimamizi wa hotel zake membe za "naf blue, na fan city na mpya iliyopo shangani" amewahakikishia wale wote ambao watakamatwa akishakuwa raisi 2015 atatumia mamlaka yake kuwatoa gerezani. Pia ndiye aliyewaambia vijana kwamba waendelee na machafuko kwani kama waziri wa mambo ya nje anahakika marekani na ubama wako upande wao so waendelee.

Kinachoniuma ni kwanini CUF wamekuwa wasaliti kiasi hiki? Vipi Lipumba mbona naye kaongea mengi wao kwanini hawamtaji?

Mbona pia kijana ambaye anajinadi kuwa mbunge ajaye wa mtwara mjini mussa chimae kasema mengi hawamtaji au kwakuwa kaolea kwao?

Yaniuma sana nawaona CUF wasaliti sana.

Tutafika tu.
Membe anawaza kuwa Rais wa nn mkuu?wa TFF? au Rais wa chama cha muziki Tanzania? au Rais wa wamiliki wa mahoteli??Sidhani kama anamaana rais wa JMT maana huo ubunge wa Mtama tuu umemshinda!!
 
Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Sasa ndugu , CHADEMA wanahusika vipi huko tena ?

Usishangae mkuu unajua mwizi au jambazi akimuona mtu yoyote wazo lake la kwanza anahisi ni polisi! kivuli cha chadema kinatesa wengi sana!!na bado!!!!
 
Kwa hili la gesi tutasikia mengi!

hivi huu mkataba wa uchimbaji na usafirishaji gesi toka mtwara uko wapi tuusome inaelekea kuna mengi yamefichika ndani yake ndio maana serikali ipo tayari kutoa roho za watu kuliko gesi isiende Bagamoyo,,oops isiende Dar!!
 
wanajamvi hii habari sio ya uongo kama mnavyodhani, hata leo asubuhi nilikutana na wazee watatu maeneo ya libobe ambao kwa itikadi ni cuf and wametoa kauli ambayo inafana kwani wao wanasema bora kama CCM inawalinda watu wake then nao waachiwe viongozi wao kwani wahusika ni wengi. kwao wao wanasema membe kweli ni mmoja wao and anahusika katika mikakati kadhaa ingawa hajitokezi hadharani kama murji.

my take watu wa usalama waliangalie hili: nilipewa hii namba ya kijana ambaye ndiye hutumika kueneza vikaratasi 0783111967 wanaoweza kutrace wamtafute anamajibu yakutosha. huo waweza kuwa mchango wangu katika hili and kesho nitakuwa nanguruwe kikazi.
 
Bado hainiingii akilini kuwa mbunge amekamatwa kwa uchochezi wakati yeye yupo upande huohuo wa serikali na hata walivyozindua kiwanda cha saruji kauli za mbunge huyu huyu zilionesha wazi kua yupo upande wa serikali,kukamatwa kwake kwa mtazamo wangu wanataka kuwafariji wananchi kuwa sio viongozi wapinzani peke yao ndio wanakamatwa bali hata viongozi wa ccm ili waendelee kuwa na imani na ccm na hasa wanatamani sana wananchi wawachukie wale viongozi waliounda umoja wa masuala ya gesi,ninatamani sana ule umoja waliouonesha wananchi kwenye masuala ya gesi basi uonekane kwenye chaguzi zijazo ebu tubadili aina ya mboga wanakusini tuachane na ccm kwanza na tuangalie upande mwingine unanogaje.

Kwani huyu mheshimiwa ni CUF? Hivi huyu jamaa ni kwa nini kashindwa kukidhi matakwa ya dhamana? Nimeshangaa kidogo.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom