Mtwara: CUF wamtosa Murji na kumlinda Membe

Mtwara: CUF wamtosa Murji na kumlinda Membe

Bado hainiingii akilini kuwa mbunge amekamatwa kwa uchochezi wakati yeye yupo upande huohuo wa serikali na hata walivyozindua kiwanda cha saruji kauli za mbunge huyu huyu zilionesha wazi kua yupo upande wa serikali,kukamatwa kwake kwa mtazamo wangu wanataka kuwafariji wananchi kuwa sio viongozi wapinzani peke yao ndio wanakamatwa bali hata viongozi wa ccm ili waendelee kuwa na imani na ccm na hasa wanatamani sana wananchi wawachukie wale viongozi waliounda umoja wa masuala ya gesi,ninatamani sana ule umoja waliouonesha wananchi kwenye masuala ya gesi basi uonekane kwenye chaguzi zijazo ebu tubadili aina ya mboga wanakusini tuachane na ccm kwanza na tuangalie upande mwingine unanogaje.

hiyo ndiyo gesi
 
Mada mloleta jamvini ni ya kifitina acheni propaganda za kuchonganisha watu Cdm siasa imewashinda

Naomba nikuulize hapa CHADEMA inahusika vipi? yaani kila ukilala ukiamka huna furaha hadi uitaje CDM. anae lalamika ni CCM kwa wana CUF kumtosa mwenzao(mume)
 
Ngugu wanajamvi,

poleni na kazi zenu za uchambuzi. Jana kama mlivyofahamishwa ni kwamba mbunge wa mtwara mjini ndugu murji kakamatwa kuhusiana na siasa za mtwara na mambo ya gesi. Sababu hasa ya kukamatwa ni maelezo ya ndugu Katani.

Katani na wafuasi wake wakilalamika kwamba polisi wanawabagua na kumpendelea magamba ambao ni kweka na murji ambao kulingana na kauli zao ni wahusika wakuu kwani kweka ndiye aliyetoa gharama za kununua milipuko na ndiye ambaye aliwanunulia vijana bodaboda kipindi cha kutaka kuwa mjumbe wa nec na baada ya hapo anawatumia vijana hao kama atakavyo.

Cha ajabu wamekacha kumtaja membe ambaye kupitia msimamizi wa hotel zake membe za "naf blue, na fan city na mpya iliyopo shangani" amewahakikishia wale wote ambao watakamatwa akishakuwa raisi 2015 atatumia mamlaka yake kuwatoa gerezani. Pia ndiye aliyewaambia vijana kwamba waendelee na machafuko kwani kama waziri wa mambo ya nje anahakika marekani na ubama wako upande wao so waendelee.

Kinachoniuma ni kwanini CUF wamekuwa wasaliti kiasi hiki? Vipi Lipumba mbona naye kaongea mengi wao kwanini hawamtaji?

Mbona pia kijana ambaye anajinadi kuwa mbunge ajaye wa mtwara mjini mussa chimae kasema mengi hawamtaji au kwakuwa kaolea kwao?

Yaniuma sana nawaona CUF wasaliti sana.

Tutafika tu.
Kwa maelezo yako nimegundua kuwa wewe aidha ni WAZIRI HAWA GHASIA AU MFUASI WAKE.Sababu ni kwamba wote unao wazungumzia ni maadui wa kisiasa wa ghasia ambao mara nyingi amejaribu kuwachafua na hakufanikiwa. kweli wanasiasa ni watu hatari sana.hii post yako imejaa uongo na unafiki mtupu. Na huyo mmiliki wa Naffblue una mtaja kwasababu unahisi atagombea ubunge mtwara vijijini.MHRSHIMIWA MURJI NYOTA YAKE INANG'AA SANA MTWARA HATA UMCHAFUE VIPI HACHAFULIKI.
 
Ngugu wanajamvi,

poleni na kazi zenu za uchambuzi. Jana kama mlivyofahamishwa ni kwamba mbunge wa mtwara mjini ndugu murji kakamatwa kuhusiana na siasa za mtwara na mambo ya gesi. Sababu hasa ya kukamatwa ni maelezo ya ndugu Katani.

Katani na wafuasi wake wakilalamika kwamba polisi wanawabagua na kumpendelea magamba ambao ni kweka na murji ambao kulingana na kauli zao ni wahusika wakuu kwani kweka ndiye aliyetoa gharama za kununua milipuko na ndiye ambaye aliwanunulia vijana bodaboda kipindi cha kutaka kuwa mjumbe wa nec na baada ya hapo anawatumia vijana hao kama atakavyo.

Cha ajabu wamekacha kumtaja membe ambaye kupitia msimamizi wa hotel zake membe za "naf blue, na fan city na mpya iliyopo shangani" amewahakikishia wale wote ambao watakamatwa akishakuwa raisi 2015 atatumia mamlaka yake kuwatoa gerezani. Pia ndiye aliyewaambia vijana kwamba waendelee na machafuko kwani kama waziri wa mambo ya nje anahakika marekani na ubama wako upande wao so waendelee.

Kinachoniuma ni kwanini CUF wamekuwa wasaliti kiasi hiki? Vipi Lipumba mbona naye kaongea mengi wao kwanini hawamtaji?

Mbona pia kijana ambaye anajinadi kuwa mbunge ajaye wa mtwara mjini mussa chimae kasema mengi hawamtaji au kwakuwa kaolea kwao?

Yaniuma sana nawaona CUF wasaliti sana.

Tutafika tu.
Wewe ni mwongo wa kimataifa. unataka kutumia kukamatwa kwa mheshimiwa MURJI kuwaingiza humo na hasimu wako wa kisiasa.wewe lazima utakuwa hawa ghasia au mfuasi wake au ni kutoka familia ya sinani.HUWEZI KULETA UONGO KAMA HUU HAPA JF ILI KUPINDISHA UKWELI.Kuwa mkweli na MUNGU atakupenda.kama hayo uliyo yasema yana ukweli wowote kwanini usipeleke ushahidi wako polisi au vyombo vingine vya usalama? ACHA ROHO MBAYA.
 
Wewe ni mwongo wa kimataifa. unataka kutumia kukamatwa kwa mheshimiwa MURJI kuwaingiza humo na hasimu wako wa kisiasa.wewe lazima utakuwa hawa ghasia au mfuasi wake au ni kutoka familia ya sinani.HUWEZI KULETA UONGO KAMA HUU HAPA JF ILI KUPINDISHA UKWELI.Kuwa mkweli na MUNGU atakupenda.kama hayo uliyo yasema yana ukweli wowote kwanini usipeleke ushahidi wako polisi au vyombo vingine vya usalama? ACHA ROHO MBAYA.

Nasikitika sana kuona kwa kiasi gani umekuwa ni mtu wa fitina kwani sidhani kama hoja hii inafanana na hao unaowataja hata kuna watu wengine wamewataja chadema. I am not as stupid as you might be thinking of being used by politicians. In so many ways I have always maintained the standards of not being a person of mnafiki type or a gossiper . what I have wrote in my thread are facts that truly lead to the arrest of murji and as a gentleman I never imagined that katani or cuf or any would betray the brother in the process.

In the time of my schooling it was a shame for a student to set your brother kwa walimu and management eti kama kigezo chako katika kujitetea and that is my stand. In any movement we can't afford to have people who betray others.

So I still hate those whom instead of responding to their questions, they start mentioning others. And because sources are pointing to CUF why should I mention CHADEMA?
 
Back
Top Bottom