Mtumishi Wa umma mwaka Wa tano hakuna daraja!

Mjema Vushanje

Senior Member
Sep 24, 2017
159
353
Watumishi Wa umma (Walimu) nadhani Wana Hali ngumu kuliko!

Maskini Hadi huruma, yaani hawana mtetezi!

Mwalimu aliyeanza KAZI 2009, akakaa miaka minne (2013) akabahatika akapanda daraja. Huku akiendelea kupambana na Hali yake bodi ya mikopo ikafyeka 15%.

Hiyo sio ishu Sana lakini alitakiwa baada ya miaka mitatu (2016) apande daraja lingine lakini hola...2017 - hola!

Maana yake Ni kwamba ikiingia 2018 mtumishi huyu (mwalimu) anaingia mwaka Wa 5 bila promotion yeyote na bado anaendelea kutumikia huku maisha yanapanda na majukumu yanaongezeka.

Sio fair!
 
Kama mnaonaje si muache kazi tuu mkafanye ishu nyibgine siyo kila siku mnalalamika tuu ,,,tumechoka na nyie khaaaa
Ikifika tareh 21 mnalete vimada vyenu vya kuulizia vimishara vyenu ,,,,kama mngekuwa na umoja ni kuacha kazi tuu au gomeni tuuu
 
Watumishi Wa umma (Walimu) nadhani Wana Hali ngumu kuliko!

Maskini Hadi huruma, yaani hawana mtetezi!

Mwalimu aliyeanza KAZI 2009, akakaa miaka minne (2013) akabahatika akapanda daraja. Huku akiendelea kupambana na Hali yake bodi ya mikopo ikafyeka 15%.

Hiyo sio ishu Sana lakini alitakiwa baada ya miaka mitatu (2016) apande daraja lingine lakini hola...2017 - hola!

Maana yake Ni kwamba ikiingia 2018 mtumishi huyu (mwalimu) anaingia mwaka Wa 5 bila promotion yeyote na bado anaendelea kutumikia huku maisha yanapanda na majukumu yanaongezeka.

Sio fair!
Yaani kwako wewe WATUMISHI WA UMMA NI WALIMU TU ....... Hii yote yaonesha UBINAFSI ULO PITA KIWANGO wa mtoa hoja ....
 
Watumishi Wa umma (Walimu) nadhani Wana Hali ngumu kuliko!

Maskini Hadi huruma, yaani hawana mtetezi!

Mwalimu aliyeanza KAZI 2009, akakaa miaka minne (2013) akabahatika akapanda daraja. Huku akiendelea kupambana na Hali yake bodi ya mikopo ikafyeka 15%.

Hiyo sio ishu Sana lakini alitakiwa baada ya miaka mitatu (2016) apande daraja lingine lakini hola...2017 - hola!

Maana yake Ni kwamba ikiingia 2018 mtumishi huyu (mwalimu) anaingia mwaka Wa 5 bila promotion yeyote na bado anaendelea kutumikia huku maisha yanapanda na majukumu yanaongezeka.

Sio fair!
Mwamhie aache kazi akalime.
 
Watumishi Wa umma (Walimu) nadhani Wana Hali ngumu kuliko!

Maskini Hadi huruma, yaani hawana mtetezi!

Mwalimu aliyeanza KAZI 2009, akakaa miaka minne (2013) akabahatika akapanda daraja. Huku akiendelea kupambana na Hali yake bodi ya mikopo ikafyeka 15%.

Hiyo sio ishu Sana lakini alitakiwa baada ya miaka mitatu (2016) apande daraja lingine lakini hola...2017 - hola!

Maana yake Ni kwamba ikiingia 2018 mtumishi huyu (mwalimu) anaingia mwaka Wa 5 bila promotion yeyote na bado anaendelea kutumikia huku maisha yanapanda na majukumu yanaongezeka.

Sio fair!
Acha kazi katafute madaraja huko kwingine hujalazimishwa.
 
Yaani kwako wewe WATUMISHI WA UMMA NI WALIMU TU ....... Hii yote yaonesha UBINAFSI ULO PITA KIWANGO wa mtoa hoja ....
yeye ameweza kuwa na justifiable evidence za walimu, kama wewe una ushahidi kwa idara nyingine ongezea. Hasira za nini?
 
Mkuu watumishi wa umma wanatakiwa kufikiria nje ya box yaan kuwa na kipato nje ya kaz anayoifanya! Vinginevyo changamoto itabaki vile vile! mkifikia hatua hiyo hata mwajiri atawaheshimu hakuta kuwa na mizengwe tena!
 
yeye ameweza kuwa na justifiable evidence za walimu, kama wewe una ushahidi kwa idara nyingine ongezea. Hasira za nini?
Nami pia ni mwl. but siwezi onesha UBINAFSI vile utadhani WATUMISHI WA UMMA ni sisi tu ....
By the way sina hasira ..... ila UMIMI NAUCHUKIA SANA .... Rejea HEADING YAKE .... Kasema WATUMISHI WA UMMA so angetoa japo maelezo yalo angukia kote .... but ufafanuz ume-weigh UPANDE MMOJA TU .... ukiweza kunilaumu endelea tu kunilaumu hata mwingine yeyote aruhusuwa but I STAND FIRM TO WHAT I BELIEVE IS RIGHT
 
Watumishi Wa umma (Walimu) nadhani Wana Hali ngumu kuliko!

Maskini Hadi huruma, yaani hawana mtetezi!

Mwalimu aliyeanza KAZI 2009, akakaa miaka minne (2013) akabahatika akapanda daraja. Huku akiendelea kupambana na Hali yake bodi ya mikopo ikafyeka 15%.

Hiyo sio ishu Sana lakini alitakiwa baada ya miaka mitatu (2016) apande daraja lingine lakini hola...2017 - hola!

Maana yake Ni kwamba ikiingia 2018 mtumishi huyu (mwalimu) anaingia mwaka Wa 5 bila promotion yeyote na bado anaendelea kutumikia huku maisha yanapanda na majukumu yanaongezeka.

Sio fair!
Tatizo mna vimbelembele wenyewe waathirika wapo kimya kabisa.
Daraja kwa tija ipi haswa?kama anataka daraja mwambie aende rufiji kuna daraja kubwa kupita yote Tanzania
 
Mkuu ukiona walimu hawajapandishwa madaraja basi ujue ni watumishi wte hawajapanda ucje fikiri walimu wanabagiliwa
 
Mleta hoja kajielekeza kwenye idara anayoijua vema na huenda yeye ni mwalimu. Kumsukumia kwenye kuzisemea sekta nyingine asizokuwa na ushahidi wa masilahi yao ni kutomtendea haki!
Ukweli ni kuwa wachangiaji mnajisahau na kumsahau mwl kwa mchango wake katika jamii. Hakuna popote duniani mtu anatoka from nowhere na kuwa mtaalam bila ya kupita kwenye mikono ya mwalimu. Hivyo mtakubaliana nami kuwa mwl akilipwa stahiki zake ipasavyo basi wataalam wengi watazalishwa na ujenzi wa viwanda utawezekana kirahisi na hata huduma nyingine zitarahishwa. Tatizo la watwanga keypad wengi wanajiona kama walimu hawana manufaa tena kwao na kusahau elimu haina mwisho hivyo uhitaji wa mwl haukwepeki. Daini haki zenu walimu na msife moyo kwani uzazi bado ungalipo na mnahitajika kuwaelimisha wanetu.
 
Kipaumbele cha serikali ni viwanja vya ndege,reli,Barbara na bombadie, kama Ethiopia, sio elimu. Tutajuta kwa miaka 14 maana nasikia wanataka kuongeza muda wa kukaa madarakani.

Pia hali hii imesaidia kuwafanya waalimu wengi kujitambua na kutoipenda ccm
 
Kipaumbele cha serikali ni viwanja vya ndege,reli,Barbara na bombadie, kama Ethiopia, sio elimu. Tutajuta kwa miaka 14 maana nasikia wanataka kuongeza muda wa kukaa madarakani.

Pia hali hii imesaidia kuwafanya waalimu wengi kujitambua na kutoipenda ccm
 
Back
Top Bottom