Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,515
Kwani wewe hujui ni kwanini CCM wanajiita Chama Dola?
They get to do whatever they want and nobody can ever do it anything about it!
Huyo teacher ni mtu mdogo mno,laiti kama zile kadi ya uanachama wa c.c.m zingekuwa zinazungumza wakati ziko mifukoni mwa wanachama nadhani mleta mada ungeanguka kwa presha!
Hiki Chama kina mizizi mirefu kama ya mbuyu!
We ushangai uchaguzi wa c.c.m ila PCCB wapo,TISS wapo uchaguzini kumonitor kila kitu?
They get to do whatever they want and nobody can ever do it anything about it!
Huyo teacher ni mtu mdogo mno,laiti kama zile kadi ya uanachama wa c.c.m zingekuwa zinazungumza wakati ziko mifukoni mwa wanachama nadhani mleta mada ungeanguka kwa presha!
Hiki Chama kina mizizi mirefu kama ya mbuyu!
We ushangai uchaguzi wa c.c.m ila PCCB wapo,TISS wapo uchaguzini kumonitor kila kitu?