Mtume Muhammad: Ndege ni wanajeshi wazuri katika vita na ongeeni nao tu

Acheni kupanic ,jibuni hoja. Takbirrr!! Hoja ndogo tu hizo mna panic mpaka basi ,hamkawii kujilipua. Kama mnaamini miujiza ya Mwenyezi Mungu kwanini mnahoji Mungu kutwaa ubinadamu, na nyie ndo mnatuambia majini yenu mnayofuga yanaweza kutwaa ombo lolote ,huenda la paka,mbwa au kiumbe kinginecho. Halafu mnapinga Mungu hawezi kutwaa mwili wa kibinadamu.Jitafakarini
Hakuna hoja niliyoiona, nimeona kaja na maswali na kishajibiwa zamani, sasa tunamshindilia misumari tu.
 
Bi mkubwa naomba kujua sura ya koran inayoelezea habari za Isa bin Maryam
Isa bin Maryam aka Yesu ametajwa kwenye sura nyingi tu:

Verses including the word 'Isa (as) (Jesus)'
In the Name of Allah, Most Gracious, Most Merciful
We gave Moses the Book and followed him up with a succession of apostles; We gave Jesus the son of Mary Clear (Signs) and strengthened him with the holy spirit.Is it that whenever there comes to you an apostle with what ye yourselves desire not, ye are puffed up with pride?- Some ye called impostors, and others ye slay! (Surah Al-Baqara, 87)
Say ye: "We believe in Allah, and the revelation given to us, and to Abraham, Isma'il, Isaac, Jacob, and the Tribes, and that given to Moses and Jesus, and that given to (all) prophets from their Lord: We make no difference between one and another of them: And we bow to Allah (in Islam)." (Surah Al-Baqara, 136)
Those apostles We endowed with gifts, some above others: To one of them Allah spoke; others He raised to degrees (of honour); to Jesus the son of Mary We gave clear (Signs), and strengthened him with the holy spirit.If Allah had so willed, succeeding generations would not have fought among each other, after clear (Signs) had come to them, but they (chose) to wrangle, some believing and others rejecting.If Allah had so willed, they would not have fought each other; but Allah Fulfilleth His plan. (Surah Al-Baqara, 253)
Behold! the angels said: "O Mary! Allah giveth thee glad tidings of a Word from Him: his name will be Christ Jesus, the son of Mary, held in honour in this world and the Hereafter and of (the company of) those nearest to Allah. (Surah Al-Imran, 45)
"He shall speak to the people in childhood and in maturity.And he shall be (of the company) of the righteous." (Surah Al-Imran, 46)
She said: "O my Lord! How shall I have a son when no man hath touched me?" He said: "Even so: Allah createth what He willeth: When He hath decreed a plan, He but saith to it, 'Be,' and it is! (Surah Al-Imran, 47)
"And Allah will teach him the Book and Wisdom, the Law and the Gospel, (Surah Al-Imran, 48)
"And (appoint him) an apostle to the Children of Israel, (with this message): "'I have come to you, with a Sign from your Lord, in that I make for you out of clay, as it were, the figure of a bird, and breathe into it, and it becomes a bird by Allah.s leave: And I heal those born blind, and the lepers, and I quicken the dead, by Allah.s leave; and I declare to you what ye eat, and what ye store in your houses.Surely therein is a Sign for you if ye did believe; (Surah Al-Imran, 49)
"'(I have come to you), to attest the Law which was before me.And to make lawful to you part of what was (Before) forbidden to you; I have come to you with a Sign from your Lord.So fear Allah, and obey me. (Surah Al-Imran, 50)
"'It is Allah Who is my Lord and your Lord; then worship Him.This is a Way that is straight.'" (Surah Al-Imran, 51)
When Jesus found Unbelief on their part He said: "Who will be My helpers to (the work of) Allah." Said the disciples: "We are Allah.s helpers: We believe in Allah, and do thou bear witness that we are Muslims. (Surah Al-Imran, 52)
"Our Lord! we believe in what Thou hast revealed, and we follow the Messenger.then write us down among those who bear witness." (Surah Al-Imran, 53)
And (the unbelievers) plotted and planned, and Allah too planned, and the best of planners is Allah. (Surah Al-Imran, 54)
Behold! Allah said: "O Jesus! I will take thee and raise thee to Myself and clear thee (of the falsehoods) of those who blaspheme; I will make those who follow thee superior to those who reject faith, to the Day of Resurrection: Then shall ye all return unto me, and I will judge between you of the matters wherein ye dispute. (Surah Al-Imran, 55)
The similitude of Jesus before Allah is as that of Adam; He created him from dust, then said to him: "Be".And he was. (Surah Al-Imran, 59)
The Truth (comes) from Allah alone; so be not of those who doubt. (Surah Al-Imran, 60)
Say: "We believe in Allah, and in what has been revealed to us and what was revealed to Abraham, Isma'il, Isaac, Jacob, and the Tribes, and in (the Books) given to Moses, Jesus, and the prophets, from their Lord: We make no distinction between one and another among them, and to Allah do we bow our will (in Islam)." (Surah Al-Imran, 84)
(They have incurred divine displeasure): In that they broke their covenant; that they rejected the signs of Allah.that they slew the Messengers in defiance of right; that they said, "Our hearts are the wrappings (which preserve Allah.s Word; We need no more)";- Nay, Allah hath set the seal on their hearts for their blasphemy, and little is it they believe;- (Surah An-NisaÂ’, 155)
That they rejected Faith; that they uttered against Mary a grave false charge; (Surah An-NisaÂ’, 156)
That they said (in boast), "We killed Christ Jesus the son of Mary, the Messenger of Allah.;- but they killed him not, nor crucified him, but so it was made to appear to them, and those who differ therein are full of doubts, with no (certain) knowledge, but only conjecture to follow, for of a surety they killed him not:- (Surah An-NisaÂ’, 157)
Nay, Allah raised him up unto Himself; and Allah is Exalted in Power, Wise;- (Surah An-NisaÂ’, 158)
And there is none of the People of the Book but must believe in him before his death; and on the Day of Judgment he will be a witness against them;- (Surah An-NisaÂ’, 159)
We have sent thee inspiration, as We sent it to Noah and the Messengers after him: we sent inspiration to Abraham, Isma'il, Isaac, Jacob and the Tribes, to Jesus, Job, Jonah, Aaron, and solomon, and to David We gave the Psalms. (Surah An-NisaÂ’, 163)
O People of the Book! Commit no excesses in your religion: Nor say of Allah aught but the truth.Christ Jesus the son of Mary was (no more than) an apostle of Allah, and His Word, which He bestowed on Mary, and a spirit proceeding from Him: so believe in Allah and His apostles.Say not "Trinity" : desist: it will be better for you: for Allah is one Allah.Glory be to Him: (far exalted is He) above having a son.To Him belong all things in the heavens and on earth.And enough is Allah as a Disposer of affairs. (Surah An-NisaÂ’, 171)
Christ disdaineth nor to serve and worship Allah, nor do the angels, those nearest (to Allah.: those who disdain His worship and are arrogant,-He will gather them all together unto Himself to (answer). (Surah An-NisaÂ’, 172)
In blasphemy indeed are those that say that Allah is Christ the son of Mary.Say: "Who then hath the least power against Allah, if His will were to destroy Christ the son of Mary, his mother, and all every - one that is on the earth? For to Allah belongeth the dominion of the heavens and the earth, and all that is between.He createth what He pleaseth.For Allah hath power over all things." (Surah Al-MaÂ’ida, 17)
And in their footsteps We sent Jesus the son of Mary, confirming the Law that had come before him: We sent him the Gospel: therein was guidance and light, and confirmation of the Law that had come before him: a guidance and an admonition to those who fear Allah. (Surah Al-MaÂ’ida, 46)
They do blaspheme who say: "(Allah) is Christ the son of Mary." But said Christ: "O Children of Israel! worship Allah, my Lord and your Lord." Whoever joins other gods with Allah,- Allah will forbid him the garden, and the Fire will be his abode.There will for the wrong-doers be no one to help. (Surah Al-MaÂ’ida, 72)
They do blaspheme who say: Allah is one of three in a Trinity: for there is no god except One Allah.If they desist not from their word (of blasphemy), verily a grievous penalty will befall the blasphemers among them. (Surah Al-MaÂ’ida, 73)
Why turn they not to Allah, and seek His forgiveness? For Allah is Oft- forgiving, Most Merciful. (Surah Al-MaÂ’ida, 74)
Christ the son of Mary was no more than an apostle; many were the apostles that passed away before him.His mother was a woman of truth.They had both to eat their (daily) food.See how Allah doth make His signs clear to them; yet see in what ways they are deluded away from the truth! (Surah Al-MaÂ’ida, 75)
Curses were pronounced on those among the Children of Israel who rejected Faith, by the tongue of David and of Jesus the son of Mary: because they disobeyed and persisted in excesses. (Surah Al-MaÂ’ida, 78)
Then will Allah say: "O Jesus the son of Mary! Recount My favour to thee and to thy mother.Behold! I strengthened thee with the holy spirit, so that thou didst speak to the people in childhood and in maturity.Behold! I taught thee the Book and Wisdom, the Law and the Gospel and behold! thou makest out of clay, as it were, the figure of a bird, by My leave, and thou breathest into it and it becometh a bird by My leave, and thou healest those born blind, and the lepers, by My leave.And behold! thou bringest forth the dead by My leave.And behold! I did restrain the Children of Israel from (violence to) thee when thou didst show them the clear Signs, and the unbelievers among them said: 'This is nothing but evident magic.' (Surah Al-MaÂ’ida, 110)
Behold! the disciples, said: "O Jesus the son of Mary! can thy Lord send down to us a table set (with viands) from heaven?" Said Jesus: "Fear Allah, if ye have faith." (Surah Al-MaÂ’ida, 111)
"And behold! I inspired the disciples to have faith in Me and Mine Messenger.they said, 'We have faith, and do thou bear witness that we bow to Allah as Muslims'". (Surah Al-MaÂ’ida, 112)
They said: "We only wish to eat thereof and satisfy our hearts, and to know that thou hast indeed told us the truth; and that we ourselves may be witnesses to the miracle." (Surah Al-MaÂ’ida, 113)
Said Jesus the son of Mary: "O Allah our Lord! Send us from heaven a table set (with viands), that there may be for us - for the first and the last of us - a solemn festival and a sign from thee; and provide for our sustenance, for thou art the best Sustainer (of our needs)." (Surah Al-MaÂ’ida, 114)
Allah said: "I will send it down unto you: But if any of you after that resisteth faith, I will punish him with a penalty such as I have not inflicted on any one among all the peoples." (Surah Al-MaÂ’ida, 115)
And behold! Allah will say: "O Jesus the son of Mary! Didst thou say unto men, worship me and my mother as gods in derogation of Allah.?" He will say: "Glory to Thee! never could I say what I had no right (to say).Had I said such a thing, thou wouldst indeed have known it.Thou knowest what is in my heart, Thou I know not what is in Thine (Surah Al-MaÂ’ida, 116)
"Never said I to them aught except what Thou didst command me to say, to wit, 'worship Allah, my Lord and your Lord'; and I was a witness over them whilst I dwelt amongst them; when Thou didst take me up Thou wast the Watcher over them, and Thou art a witness to all things. (Surah Al-MaÂ’ida, 117)
"If Thou dost punish them, they are Thy servant: If Thou dost forgive them, Thou art the Exalted in power, the Wise." (Surah Al-MaÂ’ida, 118)
And Zakariya and John, and Jesus and Elias: all in the ranks of the righteous: (Surah Al-An‘am, 85)
The Jews call 'Uzair a son of Allah, and the Christians call Christ the son of Allah.That is a saying from their mouth; (in this) they but imitate what the unbelievers of old used to say.Allah.s curse be on them: how they are deluded away from the Truth! (Surah At-Tawba, 30)
They take their priests and their anchorites to be their lords in derogation of Allah, and (they take as their Lord) Christ the son of Mary; yet they were commanded to worship but One Allah.there is no god but He.Praise and glory to Him: (Far is He) from having the partners they associate (with Him). (Surah At-Tawba, 31)
Relate in the Book (the story of) Mary, when she withdrew from her family to a place in the East. (Surah Maryam, 16)
She placed a screen (to screen herself) from them; then We sent her our angel, and he appeared before her as a man in all respects. (Surah Maryam, 17)
She said: "I seek refuge from thee to ((Allah)) Most Gracious: (come not near) if thou dost fear Allah." (Surah Maryam, 18)
He said: "Nay, I am only a messenger from thy Lord, (to announce) to thee the gift of a holy son. (Surah Maryam, 19)
She said: "How shall I have a son, seeing that no man has touched me, and I am not unchaste?" (Surah Maryam, 20)
He said: "So (it will be): Thy Lord saith, 'that is easy for Me: and (We wish) to appoint him as a Sign unto men and a Mercy from Us':It is a matter (so) decreed." (Surah Maryam, 21)
So she conceived him, and she retired with him to a remote place. (Surah Maryam, 22)
And the pains of childbirth drove her to the trunk of a palm-tree: She cried (in her anguish): "Ah! would that I had died before this! would that I had been a thing forgotten and out of sight!" (Surah Maryam, 23)
But (a voice) cried to her from beneath the (palm-tree): "Grieve not! for thy Lord hath provided a rivulet beneath thee; (Surah Maryam, 24)
"And shake towards thyself the trunk of the palm-tree: It will let fall fresh ripe dates upon thee. (Surah Maryam, 25)
"So eat and drink and cool (thine) eye.And if thou dost see any man, say, 'I have vowed a fast to ((Allah)) Most Gracious, and this day will I enter into not talk with any human being'" (Surah Maryam, 26)
At length she brought the (babe) to her people, carrying him (in her arms).They said: "O Mary! truly an amazing thing hast thou brought! (Surah Maryam, 27)
"O sister of Aaron! Thy father was not a man of evil, nor thy mother a woman unchaste!" (Surah Maryam, 28)
But she pointed to the babe.They said: "How can we talk to one who is a child in the cradle?" (Surah Maryam, 29)
He said: "I am indeed a servant of Allah.He hath given me revelation and made me a prophet; (Surah Maryam, 30)
"And He hath made me blessed wheresoever I be, and hath enjoined on me Prayer and Charity as long as I live; (Surah Maryam, 31)
"(He) hath made me kind to my mother, and not overbearing or miserable; (Surah Maryam, 32)
"So peace is on me the day I was born, the day that I die, and the day that I shall be raised up to life (again)"! (Surah Maryam, 33)
Such (was) Jesus the son of Mary: (it is) a statement of truth, about which they (vainly) dispute. (Surah Maryam, 34)
It is not befitting to (the majesty of) Allah that He should beget a son.Glory be to Him! when He determines a matter, He only says to it, "Be", and it is. (Surah Maryam, 35)
And We made the son of Mary and his mother as a Sign: We gave them both shelter on high ground, affording rest and security and furnished with springs. (Surah Al-Muminun, 50)
And remember We took from the prophets their covenant: As (We did) from thee: from Noah, Abraham, Moses, and Jesus the son of Mary: We took from them a solemn covenant: (Surah Al-Ahzab, 7)
The same religion has He established for you as that which He enjoined on Noah - the which We have sent by inspiration to thee - and that which We enjoined on Abraham, Moses, and Jesus: Namely, that ye should remain steadfast in religion, and make no divisions therein: to those who worship other things than Allah, hard is the (way) to which thou callest them. Allah chooses to Himself those whom He pleases, and guides to Himself those who turn (to Him). (Surah Ash-Shura, 13)
When (Jesus) the son of Mary is held up as an example, behold, thy people raise a clamour thereat (in ridicule)! (Surah Az-Zukhruf, 57)
And they say, "Are our gods best, or he?" This they set forth to thee, only by way of disputation: yea, they are a contentious people. (Surah Az-Zukhruf, 58)
He was no more than a servant: We granted Our favour to him, and We made him an example to the Children of Israel. (Surah Az-Zukhruf, 59)
And if it were Our Will, We could make angels from amongst you, succeeding each other on the earth. (Surah Az-Zukhruf, 60)
And (Jesus) shall be a Sign (for the coming of) the Hour (of Judgment): therefore have no doubt about the (Hour), but follow ye Me: this is a Straight Way. (Surah Az-Zukhruf, 61)
Let not the Evil One hinder you: for he is to you an enemy avowed. (Surah Az-Zukhruf, 62)
When Jesus came with Clear Signs, he said: "Now have I come to you with Wisdom, and in order to make clear to you some of the (points) on which ye dispute: therefore fear Allah and obey me. (Surah Az-Zukhruf, 63)
"For Allah, He is my Lord and your Lord: so worship ye Him: this is a Straight Way." (Surah Az-Zukhruf, 64)
But sects from among themselves fell into disagreement: then woe to the wrong-doers, from the Penalty of a Grievous Day! (Surah Az-Zukhruf, 65)
Then, in their wake, We followed them up with (others of) Our apostles: We sent after them Jesus the son of Mary, and bestowed on him the Gospel; and We ordained in the hearts of those who followed him Compassion and Mercy. But the Monasticism which they invented for themselves, We did not prescribe for them: (We commanded) only the seeking for the Good Pleasure of Allah. but that they did not foster as they should have done. Yet We bestowed, on those among them who believed, their (due) reward, but many of them are rebellious transgressors. (Surah Al-Hadid, 27)
And remember, Jesus, the son of Mary, said: "O Children of Israel! I am the apostle of Allah (sent) to you, confirming the Law (which came) before me, and giving Glad Tidings of an Messenger to come after me, whose name shall be Ahmad." But when he came to them with Clear Signs, they said, "this is evident sorcery!" (Surah As-Saff, 6)
O ye who believe! Be ye helpers of Allah. As said Jesus the son of Mary to the Disciples, "Who will be my helpers to (the work of) Allah." Said the disciples, "We are Allah.s helpers!" then a portion of the Children of Israel believed, and a portion disbelieved: But We gave power to those who believed, against their enemies, and they became the ones that prevailed. (Surah As-Saff, 14)

Source: QuranIndex.Net
 
Wanajamvi:

Niwieni radhi nilibanwa na majukumu ya kuisadia nchi yetu kusonga mbele.Nilikosa kabisa muda wa kuweza kuendelea kuleta humu mijadala ambayo inahusisha mambo ambayo bado yanabeba ukakasi, iwe katika imani au mambo mengine ya kijamii.Namshukuru Mungu kwamba na leo nimejaliwa wasaa wa Nguvu na akili na hivi leo natandika suala jingine la Mtume Muhammad ambalo pia katika mafundisho yake limeacha ukakasi. Ni jambo ambalo halipenyi seli za ubongo wa watu wengi au kwa lugha nyingine,maudhui yake hayavuki duara ya mashaka. Na hivi leo, nina hoja nyingine nayo ni juu ya uwezo wa wanyama ndege kuweza kutumika kama maaskari katika vita na mchwa kuwa na uwezo wa kuwagundua binadamu kuwa wanataka kuwadhuru.

Ni hivi: Muhammad katika Kurani Sura Al-Naml (27: 15-44, anadokeza jambo la kihistoria. Ninaposema jambo la kihistoria, nina maana kwamba suala hilo lilitokea katika historia ya maisha ya wanadamu na hivi Mungu akaamua kumsimulia mja wake, Muhammad kwa kupitia Malaika Gabrieli.

Hadithi yenyewe ni ya Solomoni(Suleimani) na Malkia wa Sheba. Hadithi ya Solomoni (ambaye waislamu wanamuita “Sulaimani” na Malkia wa Sheba inaelezwa katika Sura Al-Naml (27: 15-44) kama kisa cha kweli. Kwa namna hadithi hiyo inavyoelezwa na kwa kuzingatia maelezo ya Kurani yanayotangulia hadithi hiyo na yale ya baada yake utagundua kuwa ni maelezo ya uongo na yasiyo na chembe ya ukweli wowote ule :

“15Na hakika tuliwapa Daudi na Sulaiman ilimu, na wakasema: Alhamdu Lillahi, Kuhimidiwa kote ni kwa Mwenyezi Mungu aliye tufadhilisha kuliko wengi katika waja wake Waumini.16 - Na Sulaiman alimrithi Daudi, na akasema: Enyi watu! Tumefunzwa usemi wa ndege, na tumepewa kila kitu. Hakika hii ni fadhila iliyo dhaahiri.17 - Na alikusanyiwa Sulaiman majeshi yake ya majini, na watu, na ndege; nayo yakapangwa kwa nidhamu.18 - Mpaka walipo fika kwenye bonde la wadudu chungu, alisema mdudu chungu mmoja: Enyi wadudu chungu! Ingieni majumbani mwenu, asikupondeni Sulaiman na majeshi yake bila ya wao kutambua.19 - Basi (Sulaiman) akatabasamu akacheka kwa neno hili, na akasema: Ee Mola wangu Mlezi! Nizindue niishukuru neema yako uliyo nineemesha mimi na wazazi wangu, na nipate kutenda mema uyapendayo, na uniingize kwa rehema yako katika waja wako wema.20 - Na akawakagua ndege, na akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu?21 - Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha.21 - Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha. 22 - Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka nchi ya Sabai, na nakuletea khabari za yakini.23 - Hakika mimi nimemkuta mwanamke anawatawala, naye amepewa kila kitu, na anacho kiti cha enzi kikubwa. 24 - Nimemkuta yeye na watu wake wanalisujudia jua badala ya Mwenyezi Mungu; na Shet'ani amewapambia vitendo vyao na akawazuilia Njia. Kwa hivyo hawakuongoka,25 - Na hawamsujudii Mwenyezi Mungu ambaye huyatoa yaliyo fichikana katika mbingu na ardhi, na anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza. 26 - Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi tukufu.27 - Akasema (Sulaiman): Tutatazama umesema kweli au wewe ni miongoni mwa waongo.28 - Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini. 29 - (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu. 30 - Imetoka kwa Sulaiman nayo ni: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu. 31 - Msinifanyie jeuri, na fikeni kwangu nanyi mmekwisha kuwa wenye kusalimu amri. 32 - Akasema: Enyi wahishimiwa! Nipeni shauri katika jambo langu hili, kwani mimi sikati shauri yoyote mpaka mhudhurie. 33 - Wakasema: Sisi ni wenye nguvu na wakali kwa vita; na amri iko kwako, basi tazama ni nini unaamrisha. 34 - Akasema: Hakika wafalme wanapo uingia mji wanauharibu, na wanawafanya wale watukufu wake kuwa wanyonge.

Na hivyo ndivyo watendavyo. 35 - Lakini mimi nitawapelekea zawadi, nami nitangoja watakayo rudi nayo wajumbe. 36 - Basi alipo fika (mjumbe) kwa Sulaiman, alisema (Sulaiman): Hivyo ndio nyinyi mnanisaidia kwa mali? Aliyo nipa Mwenyezi Mungu ni bora zaidi kuliko aliyo kupeni nyinyi. Lakini nyinyi mnafurahia hii zawadi yenu. 37 - Rejea kwao! Kwa yakini sisi tutawajia kwa majeshi wasio yaweza kuyakabili. Na hakika tutawatoa humo na hali wao wamekuwa madhalili na wanyonge. 38 - Akasema: Enyi wahishimiwa! Ni nani kati yenu atakaye niletea kiti chake cha enzi kabla hawajanijia nao wamekwisha salimu amri. 39 - Akasema: Afriti, katika majini: Mimi nitakuletea kabla hujainuka pahala pako hapo. Na mimi kwa hakika nina nguvu na muaminifu.40 - Akasema mwenye ilimu ya Kitabu: Mimi nitakuletea kabla ya kupepesa jicho lako. Basi alipo kiona kimewekwa mbele yake, akasema: Haya ni katika fadhila zake Mola wangu Mlezi, ili anijaribu nitashukuru au nitakufuru.

Na mwenye kushukuru, kwa hakika, anashukuru kwa manufaa ya nafsi yake; na anaye kufuru, kwa hakika Mola wangu Mlezi ni Mkwasi na Karimu.41 - Akasema: Mgeuzieni kiti chake cha enzi hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa wasio ongoka. 41 Akasema: Mgeuzieni kiti chake cha enzi hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa wasio ongoka.42 - Basi (Malkia) alipo fika akaambiwa: Je! Kiti chako cha enzi ni kama hiki? Akasema: Kama kwamba ndicho hichi. (Sulaiman na watu wake wakasema): Na sisi tumepewa ilimu kabla yake (Malkia), na tukawa Waislamu. 43 - Na yale aliyo kuwa akiyaabudu badala ya Mwenyezi Mungu yalimzuilia. Hakika yeye (Malkia) alikuwa katika kaumu ya makafiri. 44 - Akaambiwa: Liingie behewa la hili jumba. Alipo liona alidhani ni maji, na akapandisha nguo mpaka kwenye miundi yake. (Sulaiman) akasema: Hakika hilo ni behewa lilio sakafiwa kwa viyoo! Akasema (Malkia): Mola wangu Mlezi! Mimi nimejidhulumu nafsi yangu, na sasa nanyenyekea pamoja na Sulaiman kwa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote.”

Mwanajamvi:

Kwa kusoma nukuu hiyo ya Kurani utashangaa kisa hicho,katika mambo yafuatayo:

1. Inakuingia akilini kwamba kweli katika historia ya ulimwengu, Suleimani alikuwa na uwezo wa kuongea hata na ndege?

2. Inakuingia akilini kwamba hayo yanayoongelewa katika aya hiyo, vilikuwa vitu vilivyotokea kweli katika historia ya wanadamu, yaani, ndege kuweza kupangwa kama sehemu ya Jeshi ili kushiriki katika mapigano?

3. Je, inakuingia akili kweli kwamba kunaweza kutokea katika ulimwengu huu mchwa kupeana wao kwa wao tahadhari ili asije Suleimani na majeshi yake “akawabonda” au kwamba Suleimani akaweza kuongea na ndege wengine, mintarafu alipokuwa akimuulizia ndege mmoja wao aliyeitwa Hud-hud?

Mwanajamvi:

Hadithi hii sio kisa cha kweli hata kidogo na hakuna kitu cha namna hiyo ambacho kimepata kutokea katika historia ya dunia.Hata Yesu kwa wingi wa miujiza aliyopata kuifanya wakati wa uhai wake wote hapa duniani hakupata kuongea na Mbwa,Sokwe au hata mjusi.

Sasa ikiwa hakuna tukio ambalo Suleimani alipata kuongea na ndege, Muhammad alipata wapi hicho Kisa? Ni kweli kwamba Mungu ndiye alimhadithia Muhammad kisa hicho au kwamba Mungu aliandika habari za tukio hilo na hivi Muhammad kulikariri bila hata kuongeza koma au kituo?

Baada ya kuchimbua historia,imegundulika, kisa hicho sio cha kweli hata kidogo,badala yake inasadikika maelezo hayo ni ngano au hadithi tu ya kutunga na ambayo ilichomolewa kutoka chapisho la Kiyahudi liitwalo “The Second Targum of Esther” ambalo linahusiana na hadithi ya kutunga juu ya Suleimani, lakini likiwa na maudhui ya kiuasi kiimani(heretical Jewish sources).Ngano kama hii pia inafafana sana na hadithi ya kutunga ya Kiarabu iitwayo “Arabian Nights” ambamo binadamu wanaelezwa kama walikuwa wanaweza kubadilishwa na kuwa Sokwe(apes).

SASA kwa ushahidi huo:

Kuna mambo tunaweza kujiuliza:

1. Kweli Mungu ndiye mwandishi wa Kurani, kama alivyodai Muhammad na wanavyodai waislamu leo? Kama ndivyo,inawezekanaje kwa Mungu ajuaye YOTE yaliyopita,yaliopo na yajayo aandike vitu ambavyo havijapata kutokea katika historia ya wanadamu?

2.Je,ikiwa Mungu sio mwandishi wa Kurani,ni nani hasa mwandishi wake?Je,ni Muhammad mwenyewe tu na maswahaba zake?

3.Je, kama Muhammad ndiye muandishi wa Kurani,alikuwa na uweledi wa kutosha kupambanua ni lipi tukio halisi lilipata kutokea na lipi ni hadithi au ngano tu ya kutunga?

IKIWA Mwandishi wa Kurani ni Mungu,Je, anawezaje kwa mfano kuandika aya yenye maudhui kama haya kama inavyonukuliwa katika Kurani?

“Na hakika mlikwisha yajua ya wale miongoni mwenu walio ivunja Sabato, (siku ya mapumziko, Jumaa Mosi) na tukawaambia: Kuweni manyani wadhalilifu.(Kurani, al-Baqarah 2: 65).

“Walipo jifakharisha katika waliyo kanywa tuliwaambia: Kuweni manyani wa kudharauliwa.” (Kurani, al-A’raf 7: 166).

Je, Kwa uweledi wa namna hii wa Muhammad:

Ikiwa Muhammad na wafuasi wake wengine alioandika nao Kurani,wangaliishi enzi za Mwandishi wa Vitabu vya Riwaya,Chinua Achebe,wasingaliweza kubeba hata matukio yote yaliyoandikwa katika Kitabu cha “All Things Fell Apart’, yanayomhusu Okwonko na Mwanaye Nwoye, na kuyafanya kama matukio halisi? Tukio la watu wa Umuofia,kwa mfano, la kuiita Baiskeli zilizokuwa zinatumiwa na Wamisionari wa wakati ule kuwa ni Farasi wa chuma, lisingaliweza kuchukuliwa Muhammad na kuingizwa katika Kurani na kuelezwa kuwa ni Mungu aligeuza wanyama,aina ya Farasi kuwa vyuma vinavyosafirisha wanadamu? Hiyo ndio tafsiri inayoweza kutolewa kufuatia aya hizo za Kurani, kwa sababu ikiwa watu waliweza kuchukua hadithi za kutunga tu na wao kuzigeuza kuwa ni mambo halisi ambayo Mungu alipata kuyafanya wangalishindwaje kubeba hizo riwaya za Chinua Achebe?

JE, HIVI KWELI, inakuingia akilini kwamba Mungu anaweza kuamrisha Milima na ndege kumnyenyekea mwanadamu? Iwe hivyo, kwa malengo gani hasa? Shangaa sasa kama jambo hilo haliwezekani kwako lakini Muhammad amelieleza kama jambo ambalo Mungu alipata kumdokeza kuwa lilitokea kupitia Kurani sura 1:78-79:

“78 Na Daud na Suleiman walipo kata hukumu katika kadhiya ya konde walipo lisha humo mbuzi wa watu usiku. Na Sisi tulikuwa wenye kushuhudia hukumu yao hiyo 79 Tukamfahamisha Suleiman. Na kila mmoja wao tulimpa hukumu na ilimu. Na tuliifanya milima na ndege kuwa pamoja na Daud imnyenyekee na imtakase Mwenyezi Mungu. Na Sisi ndio tulio fanya hayo.80 Na tukamfundisha kuunda mavazi ya vita kwa ajili yenu ili yakuhifadhini katika kupigana kwenu. Je! Mtakuwa wenye kushukuru?81 Na tukamsahilishia Suleiman upepo wa kimbunga wendao kwa amri yake kwenye ardhi tuliyo ibarikia. Na Sisi ndio tunao jua kila kitu. 82 Na pia mashet'ani wanao mpigia mbizi na kufanya kazi nyenginezo. Na Sisi tulikuwa walinzi wao.”

Wachambuzi mahiri wa Kurani, wameweza kubainisha vile vile kwamba Sehemu nyingine ambako Muhammad na waandishi wenzake wa Kurani, wanaweza kuwa wamechukua habari za Suleimani na kuzihariri na kisha kuzipachika katika Kurani ni kutoka katika Kitabu cha Wafalme, I Wafalme 4:1-13 kama tusomavyo:

“26 Tena Sulemani alikuwa na mabanda ya farasi arobaini elfu kwa magari yake, na wapandao farasi kumi na mbili elfu..27 Na maakida wale wakaleta chakula kwa mfalme Sulemani na kwa wote walioijia meza ya mfalme Sulemani, kila mtu katika mwezi wake, kisipunguke kitu.28 Shayiri pia na majani kwa farasi, na kwa wanyama wenye mbio, wakaleta mahali walipokuwapo, kila mtu kwa kadiri ya kazi yake.29 Mungu akampa Sulemani hekima, na akili nyingi sana, na moyo mkuu, kama mchanga ulioko pwani. 30 Hekima ya Sulemani ikapita hekima ya wana wote wa mashariki, na hekima zote za Misri.31 Kwa kuwa alikuwa na hekima kuliko watu wote; kuliko Ethani Mwezrahi, na Hemani, na Kalkoli, na Darda, wana wa Maholi; zikaenea sifa zake kati ya mataifa yote yaliyozunguka.32 Naye akanena mifano elfu tatu, na nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.33 Akanena habari za miti tangu mwerezi ulioko Lebanoni hata hisopo umeao ukutani; pia akanena habari za wanyama, na za ndege, na vitambaavyo, na samaki.34 Wakaja wa mataifa yote ili waisikie hekima ya Sulemani, toka wafalme wote wa ulimwengu, waliokuwa wamepata habari za hekima yake.”

Kwa hiyo,kwa historia ya Suleimani na sifa zake zilivyokuwa zikivuma ,ndiyo kisa Muhammad na wenzie walivyosimuliwa au kusoma juu ya habari zake,wakachukua visa hivyo na kuvieleza kama matukio halisi katika Kurani.Kwa mjibu wa Biblia,Kitabu cha Wafalme, 1 Wafalme 10:1-13 na Kitabu cha Nyakati,2 Nyakati 9:1-12, Malkia wa Sheba alimtembelea Solomoni huko Yelusalemu.Na akiisha kumtembelea alishangazwa na hekima yake Solomoni na baada ya Solomoni kuwa ameweza kujibu maswali yote ya Malkia wa Sheba bila shida yoyote ndipo, Malkia wa Sheba alipoweza kuamini juu ya Mungu mmoja aliyekuwa akimuabudu Solomoni na kuamua kumusujudia na ndiyo kisa Malkia wa Sheba anasikika kusema katika aya ya 9a: “Na ahimidiwe Bwana, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti cha enzi cha Israeli;” Kisa kizima cha safari ya Malkia wa sheba na mazungumzo yake na Solomoni unaweza kukipata inavyonukuliwa:

” 1Na malkia wa Sheba aliposikia habari za Sulemani juu ya jina la Bwana, alikuja ili amjaribu kwa maswali ya fumbo.2 Akaingia Yerusalemu na wafuasi wengi sana, na ngamia wachukuao manukato, na dhahabu nyingi sana, na vito vya thamani; alipomfikilia Sulemani, akazungumza naye mambo yote aliyokuwa nayo moyoni.3 Naye Sulemani akamfumbulia maswali yake yote; wala hakukuwa na neno alilofichiwa mfalme asimwambie.4 Naye malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Sulemani, na nyumba aliyokuwa ameijenga,5 na chakula cha mezani pake, na watumishi wake walivyokaa, na kusimamia kwao wangoje wake, na mavazi yao, na wanyweshaji wake, na daraja yake ya kupandia mpaka nyumba ya Bwana, roho yake ilizimia.6Akamwambia mfalme, Ndizo kweli habari zile nilizozisikia katika nchi yangu za mambo yako na za hekima yako.7 Lakini mimi sikuzisadiki habari hizo, hata nilipokuja na kuona kwa macho yangu; tena, tazama, sikuambiwa nusu; wewe umezidi kwa hekima na kufanikiwa kuliko habari nilizozisikia.8 Heri watu wako, na heri watumishi hawa wako, wasimamao mbele yako siku zote, wakisikia hekima yako.9 Na ahimidiwe Bwana, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti cha enzi cha Israeli; kwa kuwa Bwana amewapenda Israeli milele, kwa hiyo amekufanya kuwa mfalme, ufanye hukumu na haki.”10 Basi akampa mfalme talanta za dhahabu mia na ishirini, na manukato mengi, mengi sana, na vito vya thamani; wala haukuja tena wingi wa manukato, kama hayo malkia wa Sheba aliyompa mfalme Sulemani.11 Tena merikebu za Hiramu, zilizochukua dhahabu kutoka Ofiri, zikaleta kutoka Ofiri miti ya msandali mingi sana, na vito vya thamani.12 Mfalme akafanya kwa mia hiyo ya msandali nguzo za nyumba ya Bwana, na za nyumba ya mfalme, na vinubi na vinanda vya hao waimbaji; wala haikuja miti ya msandali kama hiyo, wala haikuonekana, hata leo.13 Naye mfalme Sulemani akampa malkia wa Sheba haja yake yote, kila alilotaka, zaidi ya hayo aliyopewa na Sulemani kwa ukarimu wake wa kifalme. Basi, akarudi akaenda zake katika nchi yake, yeye na watumishi wake.” (1 Wafalme 10:1-13).

“Na malkia wa Sheba aliposikia habari za Sulemani, alikuja ili amjaribu Sulemani kwa maswali ya fumbo huko Yerusalemu, mwenye wafuasi wengi, na ngamia wachukuao manukato, na dhahabu nyingi sana, na vito vya thamani; alipomfikilia Sulemani, akamwambia mambo yote aliyokuwa nayo moyoni mwake.2 Naye Sulemani akamfumbulia maswali yake yote; wala halikuwako neno alilofichiwa Sulemani, asimwambie.3 Naye malkia wa Sheba alipoona hekima ya Sulemani, na nyumba aliyoijenga,4 na vyakula vya mezani mwake, na kikao cha watumishi wake, na usimamizi wao wangoje wake, na mavazi yao; na wanyweshaji wake, na mavazi yao; na daraja yake ya kupandia mpaka nyumba ya Bwana; roho yake ilizimia.5 Akamwambia mfalme, Ndizo kweli habari zile nilizozisikia katika nchi yangu za mambo yako na za hekima yako. 6 Lakini mimi sikuyasadiki maneno yao, hata nilipokuja na kuona kwa macho yangu; wala, tazama, ukuu wa hekima yako sikuambiwa nusu; wewe umezidi kuliko habari nilizozisikia.7 Heri watu wako, na heri hawa watumishi wako, wasimamao mbele yako sikuzote, wakisikia hekima yako.8 Na ahimidiwe Bwana, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti chake cha enzi, kuwa mfalme wake Bwana, Mungu wako; kwa kuwa Mungu wako amewapenda Israeli, kuwathibitisha milele, kwa hiyo amekufanya kuwa mfalme juu yao, ufanye hukumu na haki.9 Basi akampa mfalme talanta mia na ishirini za dhahabu, na manukato mengi mengi sana, na vito vya thamani; wala haukuja wingi wa manukato, kama hayo aliyopewa mfalme Sulemani na malkia wa Sheba.10 Tena watumishi wa Hiramu, pamoja na watumishi wa Sulemani, walioleta dhahabu kutoka Ofiri, wakaleta miti ya msandali, na vito vya thamani.11 Mfalme akayafanya kwa miti hiyo ya msandali madari ya nyumba ya Bwana, na nyumba ya mfalme, na vinubi na vinanda vya hao waimbaji; wala haijatokea kama hiyo katika nchi ya Yuda.12 Mfalme Sulemani akampa malkia wa Sheba haja yake yote, kila alilotaka, zaidi ya vile alivyomletea mfalme. Basi akarudi, akaenda zake katika nchi yake, yeye na watumishi wake.” (2 Nyakati 9:1-12).

Huo ndio ukweli juu ya kisa cha Malkia wa Sheba na Suleimani,kisa chenye mambo ambayo yamebebebwa na kupachikwa Muhammad katika Kurani kwa kuvishwa taswira ambayo hailingani na kilichotokea kadri ya simulizi hilo la Biblia.

Basi,kwa ukweli huo wa historia,karibuni tuendelee kuulizana ni Mungu gani wa Muhammad ambaye alimuhadithia kisa hicho cha ndege kutumika kama askari katika mapigano na mchwa kuwa uwezo wa kuchezwa machale?

Moja kati ya sifa ya Quran ni ubora wake wa kujitafsiri yenyewe,
Na na huwezi kuleta changamoto yeyote ktk aya au visa vinavyopatikana ktk quran kwa kudokoa dokoa baadhi ya aya za quran na kuzitungia challenge huku ukitumia ufinyu wa mawazo yako.
Umepoteza muda mwingi na povu jingi mdomoni kwa kuona ajabu ndege na wanyama kuongea, wakati hawo ndege wanyama na binaadam ni umma mmoja na wote wamefundishwa na Allah kuongea pamoja na mambo mengine, hayo Allah akatubainishia ktk sura ya 6:38

Kasema Allah "Haiwi kwa wanyama wote watembeao ardhini na wala ndege warukao angani kwa mbawa zao isipokuwa ni umma kama nyinyi( binaadam) hatuja acha chochote kukielezea ktk quran. Kisha kwa mola wenu mtarejea.

Kama ungekuwa unaifahamu quran aya hii ingekutosha kuzibuwa tatizo lako, wala usingetokwa na povu jingi
 
Karibu kila muislamu ninaemfahamu, kumsikia au kusoma maandiko yake husema au kuandika ulichokiandika hapa. Tatizo ni kutojibu hoja kwa hoja. Kama wewe ni muislamu nilitegemea uyatolee ufafanuzi (ukitupa na rejea) kuhusu alichokiandika mleta maada ili tupate hoja za upande wa pili. Lakini sijawahi kuona au kusikia hoja za namna hiyo zaidi ya madai ya kupiga vita uislamu.
Mkuu kwa uwezo wako wa kufikiri baada ya wewe kumsoma mleta uzi unadhani ameuliza hajui na yuko tayari kupewa majibu au tayari ana majibu yake na kuuliza kwake ni dhihaka tu? Ananukuu maandiko na hapo hapo anayakataa unataka apewe kipi cha ziada. Huyu si mgeni humu yeye huona anaupiga vita uislamu kumbe anapoteza muda tu.
 
Acheni kupanic ,jibuni hoja. Takbirrr!! Hoja ndogo tu hizo mna panic mpaka basi ,hamkawii kujilipua. Kama mnaamini miujiza ya Mwenyezi Mungu kwanini mnahoji Mungu kutwaa ubinadamu, na nyie ndo mnatuambia majini yenu mnayofuga yanaweza kutwaa ombo lolote ,huenda la paka,mbwa au kiumbe kinginecho. Halafu mnapinga Mungu hawezi kutwaa mwili wa kibinadamu.Jitafakarini

Nani kapanic,kukuita kafiri ndio kupanic?
Aliyekuumba anakuita hivyo, na amewapeni majina baadhi yao ni Kafiri, Nasara n.k
 
Mleta mada kabla ya dunia na chochote unachokijua ukitoa maji Mungu aliumba Kalamu na akaiamuru ianze kuandika so hata haya unayoandika kalamu ilisha Fanya yake hio Quran ni alikua anatoa katka kitabu chake na kumpa Gabriel.... Hata maisha ya watu na manabiii yalishaandikwa katika kitabu so unabishia historia anayoitoa Mungu kwa kujiona wew ndio mtaalam sana wa historia kwa kuzaliwa kwako karne ya 21?

Ilihali kalamu imeshaandika makarne na makarne huko acha ujuaji wew Mungu keshafanya makubwa wew unashaanga Nabii kuongea na Ndege ilihali yupo alie simamisha Jua...yaan Muda kwa Mara ya kwanza tangu ulumwengu uuumbwe wew hujashangaa hilo
 
Wanajamvi:

Niwieni radhi nilibanwa na majukumu ya kuisadia nchi yetu kusonga mbele.Nilikosa kabisa muda wa kuweza kuendelea kuleta humu mijadala ambayo inahusisha mambo ambayo bado yanabeba ukakasi, iwe katika imani au mambo mengine ya kijamii.Namshukuru Mungu kwamba na leo nimejaliwa wasaa wa Nguvu na akili na hivi leo natandika suala jingine la Mtume Muhammad ambalo pia katika mafundisho yake limeacha ukakasi. Ni jambo ambalo halipenyi seli za ubongo wa watu wengi au kwa lugha nyingine,maudhui yake hayavuki duara ya mashaka. Na hivi leo, nina hoja nyingine nayo ni juu ya uwezo wa wanyama ndege kuweza kutumika kama maaskari katika vita na mchwa kuwa na uwezo wa kuwagundua binadamu kuwa wanataka kuwadhuru.

Ni hivi: Muhammad katika Kurani Sura Al-Naml (27: 15-44, anadokeza jambo la kihistoria. Ninaposema jambo la kihistoria, nina maana kwamba suala hilo lilitokea katika historia ya maisha ya wanadamu na hivi Mungu akaamua kumsimulia mja wake, Muhammad kwa kupitia Malaika Gabrieli.

Hadithi yenyewe ni ya Solomoni(Suleimani) na Malkia wa Sheba. Hadithi ya Solomoni (ambaye waislamu wanamuita “Sulaimani” na Malkia wa Sheba inaelezwa katika Sura Al-Naml (27: 15-44) kama kisa cha kweli. Kwa namna hadithi hiyo inavyoelezwa na kwa kuzingatia maelezo ya Kurani yanayotangulia hadithi hiyo na yale ya baada yake utagundua kuwa ni maelezo ya uongo na yasiyo na chembe ya ukweli wowote ule :

“15Na hakika tuliwapa Daudi na Sulaiman ilimu, na wakasema: Alhamdu Lillahi, Kuhimidiwa kote ni kwa Mwenyezi Mungu aliye tufadhilisha kuliko wengi katika waja wake Waumini.16 - Na Sulaiman alimrithi Daudi, na akasema: Enyi watu! Tumefunzwa usemi wa ndege, na tumepewa kila kitu. Hakika hii ni fadhila iliyo dhaahiri.17 - Na alikusanyiwa Sulaiman majeshi yake ya majini, na watu, na ndege; nayo yakapangwa kwa nidhamu.18 - Mpaka walipo fika kwenye bonde la wadudu chungu, alisema mdudu chungu mmoja: Enyi wadudu chungu! Ingieni majumbani mwenu, asikupondeni Sulaiman na majeshi yake bila ya wao kutambua.19 - Basi (Sulaiman) akatabasamu akacheka kwa neno hili, na akasema: Ee Mola wangu Mlezi! Nizindue niishukuru neema yako uliyo nineemesha mimi na wazazi wangu, na nipate kutenda mema uyapendayo, na uniingize kwa rehema yako katika waja wako wema.20 - Na akawakagua ndege, na akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu?21 - Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha.21 - Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha. 22 - Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka nchi ya Sabai, na nakuletea khabari za yakini.23 - Hakika mimi nimemkuta mwanamke anawatawala, naye amepewa kila kitu, na anacho kiti cha enzi kikubwa. 24 - Nimemkuta yeye na watu wake wanalisujudia jua badala ya Mwenyezi Mungu; na Shet'ani amewapambia vitendo vyao na akawazuilia Njia. Kwa hivyo hawakuongoka,25 - Na hawamsujudii Mwenyezi Mungu ambaye huyatoa yaliyo fichikana katika mbingu na ardhi, na anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza. 26 - Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi tukufu.27 - Akasema (Sulaiman): Tutatazama umesema kweli au wewe ni miongoni mwa waongo.28 - Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini. 29 - (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu. 30 - Imetoka kwa Sulaiman nayo ni: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu. 31 - Msinifanyie jeuri, na fikeni kwangu nanyi mmekwisha kuwa wenye kusalimu amri. 32 - Akasema: Enyi wahishimiwa! Nipeni shauri katika jambo langu hili, kwani mimi sikati shauri yoyote mpaka mhudhurie. 33 - Wakasema: Sisi ni wenye nguvu na wakali kwa vita; na amri iko kwako, basi tazama ni nini unaamrisha. 34 - Akasema: Hakika wafalme wanapo uingia mji wanauharibu, na wanawafanya wale watukufu wake kuwa wanyonge.

Na hivyo ndivyo watendavyo. 35 - Lakini mimi nitawapelekea zawadi, nami nitangoja watakayo rudi nayo wajumbe. 36 - Basi alipo fika (mjumbe) kwa Sulaiman, alisema (Sulaiman): Hivyo ndio nyinyi mnanisaidia kwa mali? Aliyo nipa Mwenyezi Mungu ni bora zaidi kuliko aliyo kupeni nyinyi. Lakini nyinyi mnafurahia hii zawadi yenu. 37 - Rejea kwao! Kwa yakini sisi tutawajia kwa majeshi wasio yaweza kuyakabili. Na hakika tutawatoa humo na hali wao wamekuwa madhalili na wanyonge. 38 - Akasema: Enyi wahishimiwa! Ni nani kati yenu atakaye niletea kiti chake cha enzi kabla hawajanijia nao wamekwisha salimu amri. 39 - Akasema: Afriti, katika majini: Mimi nitakuletea kabla hujainuka pahala pako hapo. Na mimi kwa hakika nina nguvu na muaminifu.40 - Akasema mwenye ilimu ya Kitabu: Mimi nitakuletea kabla ya kupepesa jicho lako. Basi alipo kiona kimewekwa mbele yake, akasema: Haya ni katika fadhila zake Mola wangu Mlezi, ili anijaribu nitashukuru au nitakufuru.

Na mwenye kushukuru, kwa hakika, anashukuru kwa manufaa ya nafsi yake; na anaye kufuru, kwa hakika Mola wangu Mlezi ni Mkwasi na Karimu.41 - Akasema: Mgeuzieni kiti chake cha enzi hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa wasio ongoka. 41 Akasema: Mgeuzieni kiti chake cha enzi hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa wasio ongoka.42 - Basi (Malkia) alipo fika akaambiwa: Je! Kiti chako cha enzi ni kama hiki? Akasema: Kama kwamba ndicho hichi. (Sulaiman na watu wake wakasema): Na sisi tumepewa ilimu kabla yake (Malkia), na tukawa Waislamu. 43 - Na yale aliyo kuwa akiyaabudu badala ya Mwenyezi Mungu yalimzuilia. Hakika yeye (Malkia) alikuwa katika kaumu ya makafiri. 44 - Akaambiwa: Liingie behewa la hili jumba. Alipo liona alidhani ni maji, na akapandisha nguo mpaka kwenye miundi yake. (Sulaiman) akasema: Hakika hilo ni behewa lilio sakafiwa kwa viyoo! Akasema (Malkia): Mola wangu Mlezi! Mimi nimejidhulumu nafsi yangu, na sasa nanyenyekea pamoja na Sulaiman kwa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote.”

Mwanajamvi:

Kwa kusoma nukuu hiyo ya Kurani utashangaa kisa hicho,katika mambo yafuatayo:

1. Inakuingia akilini kwamba kweli katika historia ya ulimwengu, Suleimani alikuwa na uwezo wa kuongea hata na ndege?

2. Inakuingia akilini kwamba hayo yanayoongelewa katika aya hiyo, vilikuwa vitu vilivyotokea kweli katika historia ya wanadamu, yaani, ndege kuweza kupangwa kama sehemu ya Jeshi ili kushiriki katika mapigano?

3. Je, inakuingia akili kweli kwamba kunaweza kutokea katika ulimwengu huu mchwa kupeana wao kwa wao tahadhari ili asije Suleimani na majeshi yake “akawabonda” au kwamba Suleimani akaweza kuongea na ndege wengine, mintarafu alipokuwa akimuulizia ndege mmoja wao aliyeitwa Hud-hud?

Mwanajamvi:

Hadithi hii sio kisa cha kweli hata kidogo na hakuna kitu cha namna hiyo ambacho kimepata kutokea katika historia ya dunia.Hata Yesu kwa wingi wa miujiza aliyopata kuifanya wakati wa uhai wake wote hapa duniani hakupata kuongea na Mbwa,Sokwe au hata mjusi.

Sasa ikiwa hakuna tukio ambalo Suleimani alipata kuongea na ndege, Muhammad alipata wapi hicho Kisa? Ni kweli kwamba Mungu ndiye alimhadithia Muhammad kisa hicho au kwamba Mungu aliandika habari za tukio hilo na hivi Muhammad kulikariri bila hata kuongeza koma au kituo?

Baada ya kuchimbua historia,imegundulika, kisa hicho sio cha kweli hata kidogo,badala yake inasadikika maelezo hayo ni ngano au hadithi tu ya kutunga na ambayo ilichomolewa kutoka chapisho la Kiyahudi liitwalo “The Second Targum of Esther” ambalo linahusiana na hadithi ya kutunga juu ya Suleimani, lakini likiwa na maudhui ya kiuasi kiimani(heretical Jewish sources).Ngano kama hii pia inafafana sana na hadithi ya kutunga ya Kiarabu iitwayo “Arabian Nights” ambamo binadamu wanaelezwa kama walikuwa wanaweza kubadilishwa na kuwa Sokwe(apes).

SASA kwa ushahidi huo:

Kuna mambo tunaweza kujiuliza:

1. Kweli Mungu ndiye mwandishi wa Kurani, kama alivyodai Muhammad na wanavyodai waislamu leo? Kama ndivyo,inawezekanaje kwa Mungu ajuaye YOTE yaliyopita,yaliopo na yajayo aandike vitu ambavyo havijapata kutokea katika historia ya wanadamu?

2.Je,ikiwa Mungu sio mwandishi wa Kurani,ni nani hasa mwandishi wake?Je,ni Muhammad mwenyewe tu na maswahaba zake?

3.Je, kama Muhammad ndiye muandishi wa Kurani,alikuwa na uweledi wa kutosha kupambanua ni lipi tukio halisi lilipata kutokea na lipi ni hadithi au ngano tu ya kutunga?

IKIWA Mwandishi wa Kurani ni Mungu,Je, anawezaje kwa mfano kuandika aya yenye maudhui kama haya kama inavyonukuliwa katika Kurani?

“Na hakika mlikwisha yajua ya wale miongoni mwenu walio ivunja Sabato, (siku ya mapumziko, Jumaa Mosi) na tukawaambia: Kuweni manyani wadhalilifu.(Kurani, al-Baqarah 2: 65).

“Walipo jifakharisha katika waliyo kanywa tuliwaambia: Kuweni manyani wa kudharauliwa.” (Kurani, al-A’raf 7: 166).

Je, Kwa uweledi wa namna hii wa Muhammad:

Ikiwa Muhammad na wafuasi wake wengine alioandika nao Kurani,wangaliishi enzi za Mwandishi wa Vitabu vya Riwaya,Chinua Achebe,wasingaliweza kubeba hata matukio yote yaliyoandikwa katika Kitabu cha “All Things Fell Apart’, yanayomhusu Okwonko na Mwanaye Nwoye, na kuyafanya kama matukio halisi? Tukio la watu wa Umuofia,kwa mfano, la kuiita Baiskeli zilizokuwa zinatumiwa na Wamisionari wa wakati ule kuwa ni Farasi wa chuma, lisingaliweza kuchukuliwa Muhammad na kuingizwa katika Kurani na kuelezwa kuwa ni Mungu aligeuza wanyama,aina ya Farasi kuwa vyuma vinavyosafirisha wanadamu? Hiyo ndio tafsiri inayoweza kutolewa kufuatia aya hizo za Kurani, kwa sababu ikiwa watu waliweza kuchukua hadithi za kutunga tu na wao kuzigeuza kuwa ni mambo halisi ambayo Mungu alipata kuyafanya wangalishindwaje kubeba hizo riwaya za Chinua Achebe?

JE, HIVI KWELI, inakuingia akilini kwamba Mungu anaweza kuamrisha Milima na ndege kumnyenyekea mwanadamu? Iwe hivyo, kwa malengo gani hasa? Shangaa sasa kama jambo hilo haliwezekani kwako lakini Muhammad amelieleza kama jambo ambalo Mungu alipata kumdokeza kuwa lilitokea kupitia Kurani sura 1:78-79:

“78 Na Daud na Suleiman walipo kata hukumu katika kadhiya ya konde walipo lisha humo mbuzi wa watu usiku. Na Sisi tulikuwa wenye kushuhudia hukumu yao hiyo 79 Tukamfahamisha Suleiman. Na kila mmoja wao tulimpa hukumu na ilimu. Na tuliifanya milima na ndege kuwa pamoja na Daud imnyenyekee na imtakase Mwenyezi Mungu. Na Sisi ndio tulio fanya hayo.80 Na tukamfundisha kuunda mavazi ya vita kwa ajili yenu ili yakuhifadhini katika kupigana kwenu. Je! Mtakuwa wenye kushukuru?81 Na tukamsahilishia Suleiman upepo wa kimbunga wendao kwa amri yake kwenye ardhi tuliyo ibarikia. Na Sisi ndio tunao jua kila kitu. 82 Na pia mashet'ani wanao mpigia mbizi na kufanya kazi nyenginezo. Na Sisi tulikuwa walinzi wao.”

Wachambuzi mahiri wa Kurani, wameweza kubainisha vile vile kwamba Sehemu nyingine ambako Muhammad na waandishi wenzake wa Kurani, wanaweza kuwa wamechukua habari za Suleimani na kuzihariri na kisha kuzipachika katika Kurani ni kutoka katika Kitabu cha Wafalme, I Wafalme 4:1-13 kama tusomavyo:

“26 Tena Sulemani alikuwa na mabanda ya farasi arobaini elfu kwa magari yake, na wapandao farasi kumi na mbili elfu..27 Na maakida wale wakaleta chakula kwa mfalme Sulemani na kwa wote walioijia meza ya mfalme Sulemani, kila mtu katika mwezi wake, kisipunguke kitu.28 Shayiri pia na majani kwa farasi, na kwa wanyama wenye mbio, wakaleta mahali walipokuwapo, kila mtu kwa kadiri ya kazi yake.29 Mungu akampa Sulemani hekima, na akili nyingi sana, na moyo mkuu, kama mchanga ulioko pwani. 30 Hekima ya Sulemani ikapita hekima ya wana wote wa mashariki, na hekima zote za Misri.31 Kwa kuwa alikuwa na hekima kuliko watu wote; kuliko Ethani Mwezrahi, na Hemani, na Kalkoli, na Darda, wana wa Maholi; zikaenea sifa zake kati ya mataifa yote yaliyozunguka.32 Naye akanena mifano elfu tatu, na nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.33 Akanena habari za miti tangu mwerezi ulioko Lebanoni hata hisopo umeao ukutani; pia akanena habari za wanyama, na za ndege, na vitambaavyo, na samaki.34 Wakaja wa mataifa yote ili waisikie hekima ya Sulemani, toka wafalme wote wa ulimwengu, waliokuwa wamepata habari za hekima yake.”

Kwa hiyo,kwa historia ya Suleimani na sifa zake zilivyokuwa zikivuma ,ndiyo kisa Muhammad na wenzie walivyosimuliwa au kusoma juu ya habari zake,wakachukua visa hivyo na kuvieleza kama matukio halisi katika Kurani.Kwa mjibu wa Biblia,Kitabu cha Wafalme, 1 Wafalme 10:1-13 na Kitabu cha Nyakati,2 Nyakati 9:1-12, Malkia wa Sheba alimtembelea Solomoni huko Yelusalemu.Na akiisha kumtembelea alishangazwa na hekima yake Solomoni na baada ya Solomoni kuwa ameweza kujibu maswali yote ya Malkia wa Sheba bila shida yoyote ndipo, Malkia wa Sheba alipoweza kuamini juu ya Mungu mmoja aliyekuwa akimuabudu Solomoni na kuamua kumusujudia na ndiyo kisa Malkia wa Sheba anasikika kusema katika aya ya 9a: “Na ahimidiwe Bwana, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti cha enzi cha Israeli;” Kisa kizima cha safari ya Malkia wa sheba na mazungumzo yake na Solomoni unaweza kukipata inavyonukuliwa:

” 1Na malkia wa Sheba aliposikia habari za Sulemani juu ya jina la Bwana, alikuja ili amjaribu kwa maswali ya fumbo.2 Akaingia Yerusalemu na wafuasi wengi sana, na ngamia wachukuao manukato, na dhahabu nyingi sana, na vito vya thamani; alipomfikilia Sulemani, akazungumza naye mambo yote aliyokuwa nayo moyoni.3 Naye Sulemani akamfumbulia maswali yake yote; wala hakukuwa na neno alilofichiwa mfalme asimwambie.4 Naye malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Sulemani, na nyumba aliyokuwa ameijenga,5 na chakula cha mezani pake, na watumishi wake walivyokaa, na kusimamia kwao wangoje wake, na mavazi yao, na wanyweshaji wake, na daraja yake ya kupandia mpaka nyumba ya Bwana, roho yake ilizimia.6Akamwambia mfalme, Ndizo kweli habari zile nilizozisikia katika nchi yangu za mambo yako na za hekima yako.7 Lakini mimi sikuzisadiki habari hizo, hata nilipokuja na kuona kwa macho yangu; tena, tazama, sikuambiwa nusu; wewe umezidi kwa hekima na kufanikiwa kuliko habari nilizozisikia.8 Heri watu wako, na heri watumishi hawa wako, wasimamao mbele yako siku zote, wakisikia hekima yako.9 Na ahimidiwe Bwana, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti cha enzi cha Israeli; kwa kuwa Bwana amewapenda Israeli milele, kwa hiyo amekufanya kuwa mfalme, ufanye hukumu na haki.”10 Basi akampa mfalme talanta za dhahabu mia na ishirini, na manukato mengi, mengi sana, na vito vya thamani; wala haukuja tena wingi wa manukato, kama hayo malkia wa Sheba aliyompa mfalme Sulemani.11 Tena merikebu za Hiramu, zilizochukua dhahabu kutoka Ofiri, zikaleta kutoka Ofiri miti ya msandali mingi sana, na vito vya thamani.12 Mfalme akafanya kwa mia hiyo ya msandali nguzo za nyumba ya Bwana, na za nyumba ya mfalme, na vinubi na vinanda vya hao waimbaji; wala haikuja miti ya msandali kama hiyo, wala haikuonekana, hata leo.13 Naye mfalme Sulemani akampa malkia wa Sheba haja yake yote, kila alilotaka, zaidi ya hayo aliyopewa na Sulemani kwa ukarimu wake wa kifalme. Basi, akarudi akaenda zake katika nchi yake, yeye na watumishi wake.” (1 Wafalme 10:1-13).

“Na malkia wa Sheba aliposikia habari za Sulemani, alikuja ili amjaribu Sulemani kwa maswali ya fumbo huko Yerusalemu, mwenye wafuasi wengi, na ngamia wachukuao manukato, na dhahabu nyingi sana, na vito vya thamani; alipomfikilia Sulemani, akamwambia mambo yote aliyokuwa nayo moyoni mwake.2 Naye Sulemani akamfumbulia maswali yake yote; wala halikuwako neno alilofichiwa Sulemani, asimwambie.3 Naye malkia wa Sheba alipoona hekima ya Sulemani, na nyumba aliyoijenga,4 na vyakula vya mezani mwake, na kikao cha watumishi wake, na usimamizi wao wangoje wake, na mavazi yao; na wanyweshaji wake, na mavazi yao; na daraja yake ya kupandia mpaka nyumba ya Bwana; roho yake ilizimia.5 Akamwambia mfalme, Ndizo kweli habari zile nilizozisikia katika nchi yangu za mambo yako na za hekima yako. 6 Lakini mimi sikuyasadiki maneno yao, hata nilipokuja na kuona kwa macho yangu; wala, tazama, ukuu wa hekima yako sikuambiwa nusu; wewe umezidi kuliko habari nilizozisikia.7 Heri watu wako, na heri hawa watumishi wako, wasimamao mbele yako sikuzote, wakisikia hekima yako.8 Na ahimidiwe Bwana, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti chake cha enzi, kuwa mfalme wake Bwana, Mungu wako; kwa kuwa Mungu wako amewapenda Israeli, kuwathibitisha milele, kwa hiyo amekufanya kuwa mfalme juu yao, ufanye hukumu na haki.9 Basi akampa mfalme talanta mia na ishirini za dhahabu, na manukato mengi mengi sana, na vito vya thamani; wala haukuja wingi wa manukato, kama hayo aliyopewa mfalme Sulemani na malkia wa Sheba.10 Tena watumishi wa Hiramu, pamoja na watumishi wa Sulemani, walioleta dhahabu kutoka Ofiri, wakaleta miti ya msandali, na vito vya thamani.11 Mfalme akayafanya kwa miti hiyo ya msandali madari ya nyumba ya Bwana, na nyumba ya mfalme, na vinubi na vinanda vya hao waimbaji; wala haijatokea kama hiyo katika nchi ya Yuda.12 Mfalme Sulemani akampa malkia wa Sheba haja yake yote, kila alilotaka, zaidi ya vile alivyomletea mfalme. Basi akarudi, akaenda zake katika nchi yake, yeye na watumishi wake.” (2 Nyakati 9:1-12).

Huo ndio ukweli juu ya kisa cha Malkia wa Sheba na Suleimani,kisa chenye mambo ambayo yamebebebwa na kupachikwa Muhammad katika Kurani kwa kuvishwa taswira ambayo hailingani na kilichotokea kadri ya simulizi hilo la Biblia.

Basi,kwa ukweli huo wa historia,karibuni tuendelee kuulizana ni Mungu gani wa Muhammad ambaye alimuhadithia kisa hicho cha ndege kutumika kama askari katika mapigano na mchwa kuwa uwezo wa kuchezwa machale?
Ulichoandika ni kutokana na upeo wako ndugu mpaka leo hujui kuwa panya anatumika kutegua mabomu ndege wanatumwa kupiga picha kambi za jeshi fisi wanatumika kuloga paka ndio usiseme kuongea na wanyama mbona inawezekana au mpaka afanye mzungu
 
Naona Mkuu umeamua kupambana na dini fulani. Ungekuwa na nia ya kutaka kujua ungeacha swali tu lakini unauliza na hapo hapo unakandia. Kila la kheri

Mfano unanukuu kitabu cha Dini halafu unakataa haingii akilini, kama hauamini hiko kitabu basi wapo wanaoamini ndio maana kina wafuasi karibu kila sehemu duniani.

Walikuwepo watu zaidi yako walipambana sana lakini hawakuweza. Nakuhakikishia mimi na wewe tutaondoka duniani na dini unayoipiga vita utaiacha inaendelea kusambaa duniani. Hii nguvu na muda unaotumia kuikandia dini ni bora ungekaa chini ukaisoma hiyo kisha ukaamua mwenyewe ipi umeilewa zaidi na ni chaguo lako lakini sio kukashifu maneno ya Mungu na huku unauliza Mungu gani wa Muhammad. Una jeuri gani ya kuuliza Mungu yupi? Umewahi kufikiria je kama hauko sahihi. Usiwe na kiburi Mungu hafanyiwi dhihaka

Anza na kusoma Abrahamic religions ili uelewa uhusiano wa dini kuu 3 duniani

Mpitie mtu anaitwa Arther Wagner aliyekuwa kiongozi wa Chama Cha kupinga Uislamu Ujerumani

Wapitie na Arnoud van Doorn na Maxence Buttey

Hao walikuwa na Chuki dhidi Uislamu tena kubwa na ya wazi kuliko wewe uliye anonymous. Wao walikuwa hawataki hata uwepo wa Uislamu nchini mwao. Lakini mwisho wa siku wamesoma dini na wakasilimu na kuingia kwenye Uislamu.
BWANA YESU alimuamuru samaki akaibebe dinari(sarafu) chini ya maji na kuileta pale alipokuwa anavua samaki petro na kisha ale ndoana ili Petro aipate dinari akalipe kodi ya kwake na ya YESU.
 
Jibu hoja Mkuu! Ndege wanyama wanaweza kutumika Kama Askari katika Vita? Je.tukio Kama hilo limewahi kutokea hapa duniani ndege kupigana vita?
Mkuu mm sio muislamu ni mkristo. Kwa hapa naomba kupingana nawe sana kutumia Biblia. Dini ni imani si sayansi (ingawa kuna sayansi imeelezewa ndani ya dini). Kwa mantiki yako embu tuanze kwanza na Joshua 10:12… .“12 Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.” kwa akili zako jua na mwezi vyaweza simamishwa visitue wala kuandama?

Twende tena kwa kitabu cha Hesabu 22:27-31.. “27 Yule punda akamwona malaika wa Bwana, akajilaza chini ya Balaamu; hasira yake Balaamu ikawaka, akampiga punda kwa fimbo yake. 28 Bwana akakifunua kinywa cha yule punda, naye akamwambia Balaamu, Nimekutenda nini, hata ukanipiga mara tatu hizi?
29 Balaamu akamwambia punda; Kwa sababu umenidhihaki; laiti ningekuwa na upanga mkononi mwangu ningekuua sasa hivi.
30 Yule punda akamwambia Balaamu, Je! Mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema, La!
31 Ndipo Bwana akafunua macho ya Balaamu akamwona malaika wa Bwana amesimama njiani, ana upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa naye akainama kichwa, akaanguka kifudifudi”..kwa mantiki yako punda aweza zungumza kama wazungumzavyo wanadamu? Kwahiyo hadith hizi za Biblia Takatifu nazo ni saundi tu? Mambo ya imani Mkuu ni imani…
 
Mkuu mm sio muislamu ni mkristo. Kwa hapa naomba kupingana nawe sana kutumia Biblia. Dini ni imani si sayansi (ingawa kuna sayansi imeelezewa ndani ya dini). Kwa mantiki yako embu tuanze kwanza na Joshua 10:12… .“12 Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.” kwa akili zako jua na mwezi vyaweza simamishwa visitue wala kuandama?

Twende tena kwa kitabu cha Hesabu 22:27-31.. “27 Yule punda akamwona malaika wa Bwana, akajilaza chini ya Balaamu; hasira yake Balaamu ikawaka, akampiga punda kwa fimbo yake. 28 Bwana akakifunua kinywa cha yule punda, naye akamwambia Balaamu, Nimekutenda nini, hata ukanipiga mara tatu hizi?
29 Balaamu akamwambia punda; Kwa sababu umenidhihaki; laiti ningekuwa na upanga mkononi mwangu ningekuua sasa hivi.
30 Yule punda akamwambia Balaamu, Je! Mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema, La!
31 Ndipo Bwana akafunua macho ya Balaamu akamwona malaika wa Bwana amesimama njiani, ana upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa naye akainama kichwa, akaanguka kifudifudi”..kwa mantiki yako punda aweza zungumza kama wazungumzavyo wanadamu? Kwahiyo hadith hizi za Biblia Takatifu nazo ni saundi tu? Mambo ya imani Mkuu ni imani…
Yaniii hapa hawezi jibu huyo mtoa mada na wala haji tena kupasha kiporo chake moto yaniii Huyu mtoa mada ni jinga kabisaa kama huamini mitume vitabu Mungu utakae Muamini pasi na kuamini maandiko yaniii wewe huu uzi jinga Mende wew
 
Mkuu mm sio muislamu ni mkristo. Kwa hapa naomba kupingana nawe sana kutumia Biblia. Dini ni imani si sayansi (ingawa kuna sayansi imeelezewa ndani ya dini). Kwa mantiki yako embu tuanze kwanza na Joshua 10:12… .“12 Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.” kwa akili zako jua na mwezi vyaweza simamishwa visitue wala kuandama?

Twende tena kwa kitabu cha Hesabu 22:27-31.. “27 Yule punda akamwona malaika wa Bwana, akajilaza chini ya Balaamu; hasira yake Balaamu ikawaka, akampiga punda kwa fimbo yake. 28 Bwana akakifunua kinywa cha yule punda, naye akamwambia Balaamu, Nimekutenda nini, hata ukanipiga mara tatu hizi?
29 Balaamu akamwambia punda; Kwa sababu umenidhihaki; laiti ningekuwa na upanga mkononi mwangu ningekuua sasa hivi.
30 Yule punda akamwambia Balaamu, Je! Mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema, La!
31 Ndipo Bwana akafunua macho ya Balaamu akamwona malaika wa Bwana amesimama njiani, ana upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa naye akainama kichwa, akaanguka kifudifudi”..kwa mantiki yako punda aweza zungumza kama wazungumzavyo wanadamu? Kwahiyo hadith hizi za Biblia Takatifu nazo ni saundi tu? Mambo ya imani Mkuu ni imani…


Hoja nzito hiyo.🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Mkuu mm sio muislamu ni mkristo. Kwa hapa naomba kupingana nawe sana kutumia Biblia. Dini ni imani si sayansi (ingawa kuna sayansi imeelezewa ndani ya dini). Kwa mantiki yako embu tuanze kwanza na Joshua 10:12… .“12 Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.” kwa akili zako jua na mwezi vyaweza simamishwa visitue wala kuandama?

Twende tena kwa kitabu cha Hesabu 22:27-31.. “27 Yule punda akamwona malaika wa Bwana, akajilaza chini ya Balaamu; hasira yake Balaamu ikawaka, akampiga punda kwa fimbo yake. 28 Bwana akakifunua kinywa cha yule punda, naye akamwambia Balaamu, Nimekutenda nini, hata ukanipiga mara tatu hizi?
29 Balaamu akamwambia punda; Kwa sababu umenidhihaki; laiti ningekuwa na upanga mkononi mwangu ningekuua sasa hivi.
30 Yule punda akamwambia Balaamu, Je! Mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema, La!
31 Ndipo Bwana akafunua macho ya Balaamu akamwona malaika wa Bwana amesimama njiani, ana upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa naye akainama kichwa, akaanguka kifudifudi”..kwa mantiki yako punda aweza zungumza kama wazungumzavyo wanadamu? Kwahiyo hadith hizi za Biblia Takatifu nazo ni saundi tu? Mambo ya imani Mkuu ni imani…



SANCTUS ANACLETUS --- amka kutoka usingizini na uje kujibu huku.
 
Kula kitu cha Arusha kwanza kabla ya kujitutumua na kujifanya mjuaji, ngoja nikusaidie,

Unawajua ndege wanaitwa Falcon? Unajua kama wanatumiwa na binaadam kwa maelekezo maalum na wanatii?

Unawajua wanyama fulani wana miguu minne wanaitwa Mbwa?

Fisi je? Panya na wengineo.

Achana na Muhammad, angalia kwanza kiongozi wako anayekuongoza sasa, kiongozi wako wa kiroho anakuongoza kupitia kitabu gani kipya, ama ni hivyo hivyo vitabu unavyoita ni hadithi za kutunga? Hivi unajua kwamba Yesu hajawahi kuwepo ni hadithi pia? Kula Bangi mkuu
 
Haya uliyoyasema ni premises tu bali maudhui ni kwamba Muhammad alipotosha historia.Aliongea mambo ambayo hayajawahi kutokea katika historia ya Suleimani na Malkia wa Sheba na kwamba yeye Muhammad ali-desa hadithi za ngano kutoka katika maandishi ya watu mbalimbali na kuyafanya kana kwamba ni matukio halisi! Umeelewa sasa?
Alidesa vipi ilihali hajui kusoma? Bila kuandika na utaweza vipi kukumbuka na kusimulia vile vile kwa watu kila Mara?
 
Back
Top Bottom