Mtume Mohamed na Upendeleo wa Allah

Mtume Mohamed na Upendeleo wa Allah

Lakini Nabii Sulemani kuwa na Wake buku sio nongwa dahhh binadamu bana
Hivi nyie hamna hata uwezo wa kupambanua mambo yaliyo wazi kabisa?!Kuna mahali popote imehalalishwa Sulemani kuwa na wake wengi?!
 
Ndio maana huwa Nasema mungu wa waislamu sio Mungu huyu wa Wakristo, huyo wa waislamu huwaza ngono tu na maujuha mengine mengi.
Mohammad asingeanzisha hii dini adriz Malaria 2 MOTOCHINI
 
“Ndipo huyo mwasi atakapodhihirishwa, ambaye Bwana Yesu atamwangamiza kwa pumzi ya kinywa chake, na kumfanya awe si kitu kwa kufunuliwa kwa kuja kwake.” 2 Wathesalonike 2:8
Wewe akili zako niza kirofa kama wakristo wengi... mpinga kristo siyo mtu mmoja...mtu fulani ajaye kwenye kizazi fulani cha nyakati ...MPINGA KRISTO NI ROHO YA KUMWASI MUNGU ITAKAYO KUWA JUU YA WANADAMU KARIBU WOTE...YAANI MAANA YAKE 👉 DHAMBI ZITAKUWA KUBWA SANA DUNIANI , HIVYO YESU ANAKUJA KUHUKUMU DHAMBI .
 
Lakini Nabii Sulemani kuwa na Wake buku sio nongwa dahhh binadamu bana
Ni nongwa.Biblia inaonesha kabisa MUNGU hakupendezwa na hilo.Kwa kufanya hivyo alimuasi MUNGU
 
Back
Top Bottom