Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

Hao wenye uzoefu wanakuwa wamepata wapi kama hawakufundishwa, kwanini usiwe miongoni mwa walimu ili na wengine wajivunie kupata wenye uzoefu kama wewe unavyofurahia.

Hakuna uzoefu kwenye real love ila with satanic love ipo. Love is fresh and tender haijui experince wala history husahau yote na kuridhika.
 

Tushirikishe majibu yako na sisi
 
Khaaa!
Kumbe kaka Eiyer nawe ni bikra bado!!!
...
Ndio maana unalia-lia unaumizwa! Kumbe huwagongi ee?
Hihihihihiiii!
...
Back to topic.
Mimi nikipata bikra nitafurahi sana, sana, sana!
Nitamfundisha!
...
Ukisema wengine si waelewa, hilo ni tatizo hata kwa hao vibwawa!
 
mie nataka bikra nimpe mambo asihangaike hukoo. teheeeeee!
 

naona darasa langu limeanza kukuingia taraatibuu. bwana asifiwe!
 
Zamani bikra alikuwa na thamani maana kulikuwa na uvumilivu na upendo wa kweli,mahusiano yalibebwa na mengi na tendo la ndoa lilikuwa ni sehemu tu ya mahusiano.
Siku hizi hata uwe na bikra 6,utaambulia kuitwa mshamba,learner na lazima atafute experienced pembeni atakakomaliza mibinjuko yote huko.
 

Hivyo bora upate mali yako "mpya" ujue jinsi ya kutumia ama'?
 
pasina shaka wazinzi utawajua tu ! ikiwa si kwa matendo, maneno,yao na fikra zao zinatosha kuwabaini

utamu wa embe uliondoe ganda mwenyewe! ndipo wawezza linyonya vizuri na kulitafuna upande upande na kuchezesha ulimi pande zote bila kuhofia mate ya mwenzio!

NI MAONI TU WAKUUU
 

na ww upo kundi la wazinzi ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…