cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Ila vivuko hawaangaliagi idadi ya watu hata MV magogoni, na kigamboni watu wanakata tiketi mnaingia bila idadi ni wewe tu kuamua basi kiukweli ni hatari sanaVyombo vya majini vina taratibu zake za ku-handle na wanajua kabisa maana huruhusiwi kuingia bila ticket na ikiwezekana orodha ya raia ibaki nchi kavu (of course kwa kivuko kwa kuwa ni huduma ya kuvuka angalau idadi ya abiria nchi kavu ijulikane lakini pale tumeambiwa idadi haijulikani kwani mkata ticket nae alikuwa ni sehemu ya waliokufa).