RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Paul makonda anaangaliwa kwa jicho la Tatu kama magufuli aliyechangamka ni kiongozi ambaye siyo mwoga katika utendaji na mtu wa kutoa maamuzi ya haraka ! Wazee kwa vijana nimepita mahala wakisema ni kiongozi mwenye maono asiyependa uongozi wa matukio usiokuwa na utekelezaji , yeye ni mtu wa kazi tu ! Maelfu ya watu mkoani geita yameenda kumuona kijana huyo Matata katika mkutano wake