figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Heshima kwenu wakuu,
Nakumbuka kule Nungwi watu waliogelea kilometa tano hadi wakaogelea. Eti hawa Wasukuma wanajiita wanaume wa mkoani wanashindwa kuogelea mita 50.
Wapemba wanaogelea kwenye bahari ambayo maji ni ya chumvi na hawafumbi macho.
Ni uzembe mtu unakaa Ukara eti hujui kuogelea hata mita mia moja.
Nmesikitika sana na wameniaibisha sana.
Mtaalam wa kuogelea angeweza kuokoa watu 50 kwa wakati mmoja, anawavuta na wengine kuwabeba mgongoni.
Hii ajali ya MV nyerere itupe fundisho. Tujifunze kuogelea.
Wapemba pale Msimbazi wanaogelea tu. Hutasikia Mpemba kafa maji kizembe.
Hongera kwa Serikali ya Zanzibar kwa kuwawezesha kila raia mkazi ajue kuogelea.
Yaani hapa na pale Mwanaume wa Mkoani kashindwa kuogelea!?
Serikali ianze kutoa elimu mashuleni kulingana na mazingira. Watu wa Pwani na Ziwani wafundishwe kuogelea. Watu wa polini wafundishe kupambana na wanyama wakali, watu wa dar wafundishwe kuvuka barabara. nk. Watu wa mikoani wafundishwe kulima pia
Injinia Cherehani kutoka akiwa mzima baada ya kukaa majini siku mbili, ni kielelezo kwamba wananchi wangepewa elimu ya kuogelea na kuishi majini kwa muda mrefu ikiwemo mbinu ya kujipaka oil, wengi wangeokoka.
Nakumbuka kule Nungwi watu waliogelea kilometa tano hadi wakaogelea. Eti hawa Wasukuma wanajiita wanaume wa mkoani wanashindwa kuogelea mita 50.
Wapemba wanaogelea kwenye bahari ambayo maji ni ya chumvi na hawafumbi macho.
Ni uzembe mtu unakaa Ukara eti hujui kuogelea hata mita mia moja.
Nmesikitika sana na wameniaibisha sana.
Mtaalam wa kuogelea angeweza kuokoa watu 50 kwa wakati mmoja, anawavuta na wengine kuwabeba mgongoni.
Hii ajali ya MV nyerere itupe fundisho. Tujifunze kuogelea.
Wapemba pale Msimbazi wanaogelea tu. Hutasikia Mpemba kafa maji kizembe.
Hongera kwa Serikali ya Zanzibar kwa kuwawezesha kila raia mkazi ajue kuogelea.
Yaani hapa na pale Mwanaume wa Mkoani kashindwa kuogelea!?
Serikali ianze kutoa elimu mashuleni kulingana na mazingira. Watu wa Pwani na Ziwani wafundishwe kuogelea. Watu wa polini wafundishe kupambana na wanyama wakali, watu wa dar wafundishwe kuvuka barabara. nk. Watu wa mikoani wafundishwe kulima pia
Injinia Cherehani kutoka akiwa mzima baada ya kukaa majini siku mbili, ni kielelezo kwamba wananchi wangepewa elimu ya kuogelea na kuishi majini kwa muda mrefu ikiwemo mbinu ya kujipaka oil, wengi wangeokoka.