Mtu 'romantic' anakuwaje?

pinno

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
1,213
Reaction score
1,233
Tangu Zamani nimekuwa nikipata vijembe toka kwa mpenzi wangu wa long time kuwa , am not romantic, at the same time anasema am good in bed na ninamfikisha kweli, Sasa hivi juzi nimekutana na just a friend ( a girl) ambaye kwa kuangalia it was realy kuwa alikuwa anafall inlove kwangu,ukizingatia kuwa sikuwa nimedisclose hizo info za kuwa nipo in a very strong relationship. Picha texting za kimahaba, kuongea hadi usiku wa manane kumetawala sana na vitimbwi vyote vya kimahaba. then jana akaniuliza " hivi umeshawahi kuwa romantic???" akili ikaruka hadi ikakumbuka vijembe vya my lovee vya kila siku tukiwa na ugomvi. nimejaribu kumdadis nimeambulia patupu.

sasa najiuliza uwenda ni kweli, am not romantic, but hivi mtu kuwa romantic ndo ipoje hyoooo???? ..

MSAADA TAFADHALI!!!!
 
Reactions: SMU
Hapo simo,ngoja nioshe sharubu zangu,maana zina wiki hazijafanyiwa usafi!!!!!!!hebu raraga nikurenge!!dah hiyo kali kweri kweriii
 
romantic ndo vidudu gani wewe,.?? Kata mavumba,mwaga chapaa, toa hela,..
 
mambo mazito, waje wenyewe kuyaamalizia maana wengine sio watalaamu
 
Duuh kaka hapo inabid ujifunze kujua maisha yatakua magumu..tafuta msichana ambae ni rafiki yako wa kawaida tu yule best friend..muulize kiutani tu mkiwa mnapiga story..au www.google.com
 
Mi nahisi kuwa Romantic ni kupenda kimahaba tu!
....LOVE...
1 Normal love: rafiki na rafiki, mtu na mzazi wake etc.
2 Romantic love: ni mapenzi ya ke & ke wanaoweza kugegedana!!!
...
....Romantic...
Ni hali ya kumjali mwenzio, kumuonesha upendo wa hali ya juu! Kumdekeza, kujishusha, kumpetipeti n.k!
Kugegeda vizuri na kuongea usiku kucha haitoshi kabisaa kuwa na hiyo sifa (romantic)
....
Mara nyingi watu wenye sifa hiyo, huzaliwa nayo!
...
NB: hayo ni kwa mujibu wa uelewa wangu!
 
Duuh kaka hapo inabid ujifunze kujua maisha yatakua magumu..tafuta msichana ambae ni rafiki yako wa kawaida tu yule best friend..muulize kiutani tu mkiwa mnapiga story..au www.google.com

Thanks mkuu,naona nshaanza kuokota okota vipoint google
 

Wengi wenye hyo sifa huzaliwa nayo.........
 
Reactions: BAK
Nadhani u mzima: kuwa romantiki ni:-

kuwa na mapenzi ya dhati kwa maneno na vitendo pia,

kujali kwa vitendo na matendo

kuwa karibu na mpenzi wako kila unapokuwa na muda au kupata nafasi mfano (unaweza kukaa naye jikoni wakati anapika na kunsika kiuno, kum kiss au kupga stor yoyote ya mahaba au kumchekesha kimaha)

kumkumbatia unapokutana nae na ku mkiss hata kama mliachana masaa 2 yaliyopita,

kumtengenezea mazingira mazuri ya kwenda 6*6 hata masaa 5 kabla mfano (unaweza kumtumia sms ukiwa kazini au sehemu yoyote mbali na yeye majira ya mchana kumweleza kuwa unemiss sana kiuno au chuchu zake, ama kuzungumzia moja ya staili mnayotumiaga N.K)

kumtoa outing sehemu ambayo hajawahi kwenda au anayoipendelea saana

kumpatia / nunulia zawadi hata kama ndogo saana

kuwasiliana naye mara kwa mara (mfano unaweza kuwa umesingikiza wageni ukiwa unarudi ukampigia simu aje kukupokea au akufungulie mlango)

na mengineyo meeeeeeeeeeenge sanaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…