Mtu na mzazi mwenzie

Mtu na mzazi mwenzie

Baba wa watoto watatu? We ni mjinga jinga tu,na kwa taarifa yako baba mtoto anatoa matunzo kwa mwanae na mzigo anakula maramoja moja,kwani we ulitakaje ni mkeo huyo?au ni nini kinachokuchanganya?
 
Mchepuko ameshakupima na ameshajua udhaifu wako kata kamba rudi kwa mkeo na tafuta mchepuko mpya
 
Hebu wajibika kwa familia yako, kwa vile umetafuta suluhu na mkeo wa ndoa ni vema ukatulizana na ndoa Yako na ulee hao wanao watatu. Usiendelee kutenda usiyopenda kutendewa
 
Ungekuwa mshkaji wangu ningeshakuzingua kitambo kwa mangumi makofi, tena ikiwezekana napita na mkeo
 
Kupitia huu uzi, nathibitisha kwamba zinaa ni mbaya sana, na mleta mada amefikia hatua ya kuzilipia gharama za uzinzi, ambayo ni mateso na hata kifo asipotubu na kuacha uzinzi mara moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau poleni sana na tozo na mambo mengine kadha wa kadha. Iko hivi, nimekuwa kwenye mahusiano na mwanamke fulani kwa muda wa miaka mitatu sasa unaenda mwaka wa 4.

Hii ni nyumba ndogo(mchepuko), sasa mchepuko huyu kuna mwamba kazaa nae mtoto wao ana miaka 5 kwasasa, na mwamba hawajajibiki kwa lolote hasa matunzo ya mtoto kwa mujibu wa maelezo ya mama mtoto.

Upande wangu mi nimeoa, tena ndoa ya kanisani kabisa nina mke na watoto wa 3. Sasa kuna kipindi katikati hapo tulitengana kidogo na mke wangu kwa mambo ya hapa na pale(wanandoa mnaelewa), akaamua kuondoka kwenda kwao akakaa kama miezi miwili hivi.

Wakati wote wife hayupo nikahamia nyumba ndogo, nikaendelea kumuomba mke wangu msamaha kwa mawasiliano ya siri nikiwa huku nyumba ndogo.

Baadae mke wangu akakubali kunisamehe na kurudi nyumbani, siku yake nikazuga naenda safari mahali mara moja(namna nilivyoaga huku nyumba ndogo) ili mradi nipate mpenyo nirudi home kwa wife.

Nilipotoka nilienda na nikafanikiwa kuonana na wife pale nyumbani vizuri kabisa. Sasa kule upande wa pili si niliaga nasafiri, ikabidi nirudi safari yangu sasa. Ile narudi nimefika tu, nikaenda kuoga narudi mtu anasema naomba simu yako(nyumba ndogo).

Ile kuchukua simu akakuta picha zangu na mke wangu na watoto wangu! Akaanza kuniuliza we kumbe na mkeo mmerudiana, nikamwambia ndio. Japo tangu tunaanza mahusiano alikuwa anajua kwamba nimeoa na nina familia yangu!

Baada ya kuona zile picha akasema mimi na wewe sasa basi! Upande wake na huyo mzazi mwenzie wanawasiliana, japo kwa siri akiwasiliana naye anafuta call history, kama ni whatsapp anafuta charts zao .

Sasa siku nikakuta picha ya matokeo ya mtoto wake ya shuleni kwenye whatsapp sent image, namuuliza anasema nampangia kwa kutuma matokeo ya mwanaye?

Baadae akasema mdogo wake alipiga picha akamtumia baba mtoto wake(Shemeji mtu). Kifupi mi nimechanganyikiwa tu, sijui nimfanyeje huyu mwanamke mana nimemgharamia .

We ni mjinga sana na utakuja kujua sana baadae, kama ujalogwa ni bahati...

Kaa na mke Achana na huyo mshenzy! Na mke Ali ondoka kwa ajili ya huu ujinga ujinga.

Na pia usiseme “wenye ndoa mnaelewa” Hapana, wenye ndoa hatuelewi mambo ya Kihuni na kishenzy kama yako, shubamity!
 
Kwanza Babu naafsi ya kwenda kwa mchepuko umepata wapi sas mke wa Kwanza umemuaga vip mnk Happ umeficha hbr Kama ulimnunuoia kila kitu chukua vitu vyako ita kiriku ije ibebe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Aisee sasa unataka nin mkuu si utafute mchepuko mwngne huku ukiendelea na wife mchepuko hata hujazaa nae unawaza waza....alaf mtu una watoto 3 unapelekeshwa na mchepuko??
Wadau poleni sana na tozo na mambo mengine kadha wa kadha. Iko hivi, nimekuwa kwenye mahusiano na mwanamke fulani kwa muda wa miaka mitatu sasa unaenda mwaka wa 4.

Hii ni nyumba ndogo(mchepuko), sasa mchepuko huyu kuna mwamba kazaa nae mtoto wao ana miaka 5 kwasasa, na mwamba hawajajibiki kwa lolote hasa matunzo ya mtoto kwa mujibu wa maelezo ya mama mtoto.

Upande wangu mi nimeoa, tena ndoa ya kanisani kabisa nina mke na watoto wa 3. Sasa kuna kipindi katikati hapo tulitengana kidogo na mke wangu kwa mambo ya hapa na pale(wanandoa mnaelewa), akaamua kuondoka kwenda kwao akakaa kama miezi miwili hivi.

Wakati wote wife hayupo nikahamia nyumba ndogo, nikaendelea kumuomba mke wangu msamaha kwa mawasiliano ya siri nikiwa huku nyumba ndogo.

Baadae mke wangu akakubali kunisamehe na kurudi nyumbani, siku yake nikazuga naenda safari mahali mara moja(namna nilivyoaga huku nyumba ndogo) ili mradi nipate mpenyo nirudi home kwa wife.

Nilipotoka nilienda na nikafanikiwa kuonana na wife pale nyumbani vizuri kabisa. Sasa kule upande wa pili si niliaga nasafiri, ikabidi nirudi safari yangu sasa. Ile narudi nimefika tu, nikaenda kuoga narudi mtu anasema naomba simu yako(nyumba ndogo).

Ile kuchukua simu akakuta picha zangu na mke wangu na watoto wangu! Akaanza kuniuliza we kumbe na mkeo mmerudiana, nikamwambia ndio. Japo tangu tunaanza mahusiano alikuwa anajua kwamba nimeoa na nina familia yangu!

Baada ya kuona zile picha akasema mimi na wewe sasa basi! Upande wake na huyo mzazi mwenzie wanawasiliana, japo kwa siri akiwasiliana naye anafuta call history, kama ni whatsapp anafuta charts zao .

Sasa siku nikakuta picha ya matokeo ya mtoto wake ya shuleni kwenye whatsapp sent image, namuuliza anasema nampangia kwa kutuma matokeo ya mwanaye?

Baadae akasema mdogo wake alipiga picha akamtumia baba mtoto wake(Shemeji mtu). Kifupi mi nimechanganyikiwa tu, sijui nimfanyeje huyu mwanamke mana nimemgharamia .
 
Back
Top Bottom