The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 4,780
- 8,155
MTU NA KUJITAMBUA.
Watu wengi siku za Leo,wamekuja na shauku ya kutaka kujitambua,je twajua au hatujui maana yake?.
Utambuzi wa mtu upo wa Namna nyingi sana.
Kuna kujitambua kifikra,Kuna kujitambua kiroho ,Kuna kujitambua kiakili,Kuna kujitambua kimwili nk nk.
Sasa ninachotaka kuongelea ni utambuzi wa kujijua wewe ni nani.
Utambuzi ni kujijua ndani mwako,kurudi ndani mwako ,kurudi kwenye asili,Sasa hapo ndipo ilipo kazi,wengi tunajua tunapo Rudi kuitambikia Mizimu ndiko kujitambua,wengine tunajua pale tunapoielezea historia ya Afrika saana ndiko kujitambua,Wengine wanajua pale tunapokataa Dini na madhehebu yake kisa yamekuja na wakoloni ni kujitambua nk ,Lahasha tunafeli ,kuabudu mizimu,Kumiliki majini na Negativity zingine zifananazo vyote hivyo ni mitetemo ya chini sana.
Asili ni Ile mwanzo ,Ile iliyokuwako ,iliyoumba Kila kitu,iliyokuumba na mwili wako,hiyo ndio LIGHT AND SOUND, ambayo Leo hii ipo ndani mwako,hiyo ndio asili ambayo ni mitetemo ya juu sana,ipo katika mwendo wa Ajabu mno,ndio maana haifi milele yote, hayupo mchawi ,Wala jini ,Wala mizimu Wala Mganga,,Wala chochote kiwezavyo kushindana nayo.
Asili Iko ndani mwako,jishushe na kimwili Kako hako nawe utaishuhudia,na itakutendea mambo makubwa na ya Ajabu mno.
Watu wengi siku za Leo,wamekuja na shauku ya kutaka kujitambua,je twajua au hatujui maana yake?.
Utambuzi wa mtu upo wa Namna nyingi sana.
Kuna kujitambua kifikra,Kuna kujitambua kiroho ,Kuna kujitambua kiakili,Kuna kujitambua kimwili nk nk.
Sasa ninachotaka kuongelea ni utambuzi wa kujijua wewe ni nani.
Utambuzi ni kujijua ndani mwako,kurudi ndani mwako ,kurudi kwenye asili,Sasa hapo ndipo ilipo kazi,wengi tunajua tunapo Rudi kuitambikia Mizimu ndiko kujitambua,wengine tunajua pale tunapoielezea historia ya Afrika saana ndiko kujitambua,Wengine wanajua pale tunapokataa Dini na madhehebu yake kisa yamekuja na wakoloni ni kujitambua nk ,Lahasha tunafeli ,kuabudu mizimu,Kumiliki majini na Negativity zingine zifananazo vyote hivyo ni mitetemo ya chini sana.
Asili ni Ile mwanzo ,Ile iliyokuwako ,iliyoumba Kila kitu,iliyokuumba na mwili wako,hiyo ndio LIGHT AND SOUND, ambayo Leo hii ipo ndani mwako,hiyo ndio asili ambayo ni mitetemo ya juu sana,ipo katika mwendo wa Ajabu mno,ndio maana haifi milele yote, hayupo mchawi ,Wala jini ,Wala mizimu Wala Mganga,,Wala chochote kiwezavyo kushindana nayo.
Asili Iko ndani mwako,jishushe na kimwili Kako hako nawe utaishuhudia,na itakutendea mambo makubwa na ya Ajabu mno.