mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Mimi nilifikiri ile methali kwao wangeitumia lakini bado wanakufa kisabuni maana methali inasema mtu mzima akivuliwa nguo uchutama lakini naona kwao ni tofauti kabisa maana ni watu wazima lakini suruari imeshushwa hadi chini, boxer pia ipo chini ya vidole vya miguu lakini wanaendelea kuning'iniza tu. jamani.
Jamani hiyo CHADEMA ndiyo baibai kama ilivyokuwa NCCR Mageuzi na CUF hata CDM nayo itakuwa zilipendwa, nendeni mkakae chini mtafakari hili mje kivingine kwa sasa mnajirisha upepo, maana kujifariji kwenu pia kwa ajabu hii ni nchi ambayo ilipata uhuru 9 Dec 1961 ni soveriini steti ina mahakama, Rais, Bunge, Bendera, Ngao na zana zote yaani haiingiliwi kama mnavyofikiri yaani ni kweli mtapata taabu sana kwa kuupenda urofa na ubora wake.
Ni bora mkakubali kuwa jamaa amewazidi kwa kila kitu maana imeonekana wani kila mliposogeza ugoko jamaa amekuwaana tupia jiwe la kilo 90 na sasa hamna miguu na maumivu ni makalisani, jisalimisheni, huu mziki si wa kitoto ndiyo maana mlipewa taarika mapema na Jakaya Mrisho Kikwete alisema kuwa sasa imetosha nawaletea 'chuma'.
Jamani hiyo CHADEMA ndiyo baibai kama ilivyokuwa NCCR Mageuzi na CUF hata CDM nayo itakuwa zilipendwa, nendeni mkakae chini mtafakari hili mje kivingine kwa sasa mnajirisha upepo, maana kujifariji kwenu pia kwa ajabu hii ni nchi ambayo ilipata uhuru 9 Dec 1961 ni soveriini steti ina mahakama, Rais, Bunge, Bendera, Ngao na zana zote yaani haiingiliwi kama mnavyofikiri yaani ni kweli mtapata taabu sana kwa kuupenda urofa na ubora wake.
Ni bora mkakubali kuwa jamaa amewazidi kwa kila kitu maana imeonekana wani kila mliposogeza ugoko jamaa amekuwaana tupia jiwe la kilo 90 na sasa hamna miguu na maumivu ni makalisani, jisalimisheni, huu mziki si wa kitoto ndiyo maana mlipewa taarika mapema na Jakaya Mrisho Kikwete alisema kuwa sasa imetosha nawaletea 'chuma'.