Hapo alikuwa kama anakupa tip, kwamba ujiongeze mwenyewe.
I hope uko powa, nakusalimia.
Huyu mzungu alikuwa ameumia kwani?
Na yeye anaona raha kubebwa, kalegea kabisa. Smh.
Si ashuke akimbie? Maana kama hakuwa ameumia sidhani kama kubebwa ilikuwa ni njia ya kuokoa maisha yake.
HahahahMbona kama hajaumia kabisa, wazungu wanadeka sana.
SadWangapi mnamfahamu huyu.. Ukijua habari zake utamjua mzungu ni nani View attachment 1480908
Hannah inaelekea huko nyumbani kwako ..Shem wetu mkizinguana huwa unampiga vitasaManeno ya khanga unayajua ukiyaona, lakini hili limekushinda.
Sio tatizo langu, potezea.
Nimpige vitasa nisipoambulia "uppercut".😂😂😂😂Hannah inaelekea huko nyumbani kwako ..Shem wetu mkizinguana huwa unampiga vitasa
Sawa jamaa. Lakini unaonaje kuhusu hilo dili, halimfai Paula Paul?
Daahh ..maana waonekana mtata ..hahaha. Kuna wanaume huwa hawapigi wanawakeNimpige vitasa nisipoambulia "uppercut".[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni mwelewa sana na mpole.Daahh ..maana waonekana mtata ..hahaha. Kuna wanaume huwa hawapigi wanawake
Napenda watu kama nyinyi waelewa na wapoleMimi ni mwelewa sana na mpole.
Habari njema hii.Napenda watu kama nyinyi waelewa na wapole
Lol nitajifanya kuwa sijakiona ulicho commentMimi ni mwelewa sana na mpole.
Yajayo yana furahishaNapenda watu kama nyinyi waelewa na wapole
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nilijua maoni kama haya yatakuwepo kwenye uzi huu.Nina wasiwasi Hilo zungu litakuwa punga mchele mchele maana limelegea mabegani sio mchezo[emoji848][emoji22]
Sent from my itel S32 using JamiiForums mobile app
Mkuu hii tafsiri sisisi au!?
dadeq
hapo mzungu atanawa na jiki,omo na chochote kinachotakasa
wabaguzi ni washenzi huwa hawabadiliki,sawa tu na alkaida au kundi la uamsho
Macho yake tu yanatafuta camera zilipo.Huyo mtu mweusi alikuwa anatafuta ujiko tu naye aweke historia.🤣