Mtu mweusi aokoa maisha ya mzungu

Mtu mweusi aokoa maisha ya mzungu

Wangapi mnamfahamu huyu.. Ukijua habari zake utamjua mzungu ni nani
JamiiForums-1152591810.jpg
 
Umeelewa sana tu. Kwani haujui kiswahili?
Kuelewa lugha na kuelewa maudhui ni vitu viwili tofauti.

Kwenye comment yako mwanzo umetumia neno "mjanja", sasa sifahamu umetumia sababu zipi kuhitimisha hilo, ndiyo maana sikukuelewa.
 
Moja ya uzi ambao tupo pamoja ila zile nyingine huwa napata tabu sana kukuelewa, ila huu nimekuelewa vizuri ndugu tajiriba yako
 
Jamaa ana maanisha uchangamkie hilo dili la kuolewa na mzungu.
Unamsingizia Don hajamaanisha hivyo.

Halafu huyu mzungu chuki za ubaguzi zipo kwenye damu haujaona Don? Kipindi ambacho wenzake wanaungana na weusi kupinga ubaguzi, yeye zinamkera, anashindwa kuvumilia anawavamia waandamaji na kuonesha ubaguzi wazi wazi.

Ni ngumu kubadilika.
 
Unamsingizia Don hajamaanisha hivyo.

Halafu huyu mzungu chuki za ubaguzi zipo kwenye damu haujaona Don? Kipindi ambacho wenzake wanaungana na weusi kupinga ubaguzi, yeye zinamkera, anashindwa kuvumilia anawavamia waandamaji na kuonesha ubaguzi wazi wazi.

Ni ngumu kubadilika.

Nimekuwekea post ya Mokaze hapo chini, akisema kwamba jamaa ataonesha kubadilika na kutafuta mwanamke wa kiafrika.

Huyo mzungu akipona atatafuta mwanamke wa kiafrika ili amuoe kuonyesha hana tena roho ya kibaguzi.

Paula paul upo???
 
Back
Top Bottom