tabu kuishi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 353
- 43
Kuna rafiki yangu yeye ni muajiriwa wa benki anataka kuwacha kazi afanye biashara ana pesa cash kama millioni 30 anaweza kufanya biashara gani ameniomba ushauri na mimi nimeamuwa kuleta jf wadau tumpe msaada wa mawazo ajikomboe mwenyewe