Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,910
- 6,704
Huyu ndie mtu wa pekee aliyekuwa na uvumilivu zamani kidogo kwa tukio lake la kuchomwa na mkuki wa bunduki jichoni
Mwanaharakati anaitwa Che guavaraAnaitwa nani?
Ahsante, ntasoma historia yakeMwanaharakati anaitwa Che guavara
Umefuata nini huku?Upuuzi tuu humu
Kuchomwa na mkuki bila kutikisika au kuonyesha hisia yoyote...Huyu ndie mtu wa pekee aliyekuwa na uvumilivu zamani kidogo kwa tukio lake la kuchomwa na mkuki wa bunduki jichoniView attachment 1608119
Nmekuja kusema huu n upuuziUmefuata nini huku?
Sร wa mzee wa busaraNmekuja kusema huu n upuuzi
Mwanaharakati mbobezi wa kukumbukwa all the timeMwanaharakati Nguli!
Kuna watu wanajua kulenga yaani ilipita moja kwa moja jichoni kuja kushtuka tayari ishapenya!Kwahiyo alipokuwa anachomwa hata hakunyampa...?
๐๐ Mkuu mbona umeenda mbali zaidi!..Kuna watu wanajua kulenga yaani ilipita moja kwa moja jichoni kuja kushtuka tayari ishapenya!
Nimekujibu mkuu ila hiyo kunyampa ndo sikuelewa!Mkuu mbona umeenda mbali zaidi!..
DADEKI..๐ Mkuu we kiboko.Nimekujibu mkuu ila hiyo kunyampa ndo sikuelewa!
Heshima kwako Che GuevaraHuyu ndie mtu wa pekee aliyekuwa na uvumilivu zamani kidogo kwa tukio lake la kuchomwa na mkuki wa bunduki jichoniView attachment 1608119
Si usoni mkuu!Jicho gani mkuu